Jamn nipo kwenye mahusiano na mpenz wangu kwa miaka minne tumevumiliana kwa mengi ila nahisi upendo umepungua umebaki uvumilivu..!! Ila kuna mwanaume ananipenda sana nimkubalie nimuache....!!!??????
Sent using Jamii Forums mobile app
Fikiria kwa undan we mwalm gan unashindwa kujiongeza??? Huu uongoz unakikomo chake muda ukiisha utapata kiongoz mwingine na marupurupu yatakuwepo utataman kuludi serikalin
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilisikia MTU anapovaa kikuku inamaana anajiuzaa....so ilikuwa inamrahisishia mnunuaji kumtambua kwa haraka sijui iyo iman kama bado ipo
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.