Kwa staly hii ccm kutumia nguvu nyingi kutaka ushindi kwa kutoa rushwa ulagai wizi udanganyifu lazima lazima tushuhudie vifo vingi kutoka chama hii inayo kataliwa na wananchi
Aaaya yote ni kutokana na uelewa jamanimaoni ya mtu hayazuiliki kabisa hiyo ndo democrasia au huyu jamaa wa cuf ana taka akatabiliwe yeye au?? Ebu wana cuf hacheni mbwembwe tuunganeni ili tukamtoe huyu adui madarakani
Wa tanzania jueni angalieni fikirieni na oneni njama za Ccm kuanzia cku Za nyuma uyu mshenzi nataka uraisi sasa jichanganyeni kwa mwaigulu mtayakuta kama ya Kikwete !!!!!!!
To gether we can in hemesphere of awereness us majority of Tz now we are awere of what's prevails over us that make look sad while we are hand some&beautiful thus the time is around to make a wise judgements for these pirates of OUR resources
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.