Recent content by J four

  1. J

    Rais Kikwete kuhutubia Ijumaa

    Hamna jipya hapo mazee make ccm na kiongozi wao huyo hawana la kuelezea wala kujitetea mbele za umma
  2. J

    Mgombea afariki kwa shinikizo baada ya matokeo kutoka

    Kwa staly hii ccm kutumia nguvu nyingi kutaka ushindi kwa kutoa rushwa ulagai wizi udanganyifu lazima lazima tushuhudie vifo vingi kutoka chama hii inayo kataliwa na wananchi
  3. J

    UKAWA tunahitaji kusherehekea ushindi uwanja wa taifa - dsm

    Hii ndiyo iliyokuwa ina subiriwa kutokea miongoni mwa watanzania
  4. J

    Nape Nnauye atoa Tamko Maalum la CCM kuhusiana na Uchaguzi wa Serikali za Mitaa nchini

    Wana tapatapa kama mfa maji kwenye hamna mambo yame wageukia hata Nape ana tamani awe kwenye ukawa
  5. J

    Uchaguzi Serikali za Mitaa 2014: Matokeo kutoka nchi nzima (TZ Bara)

    Huko ndo kwa wasomi baana hawa taki upuuzi wa majambazi wa serikali
  6. J

    Singasinga wa IPTL, Harbinder Singh Sethi atoweka

    Ccm wana mbinu nyingi sana kukwepesha ukweli bilqkujua watz waleo cio wapumbavu kiasi hicho kwahiyo mimi nina chokiona mbele yetu ccm wata kifanya kama walicho kifanya wakoloni walijichimbia kaburi lao wenyewe
  7. J

    CUF: Tunalaani fitina za kuigawa UKAWA zinazofanywa na wana UKAWA

    Aaaya yote ni kutokana na uelewa jamanimaoni ya mtu hayazuiliki kabisa hiyo ndo democrasia au huyu jamaa wa cuf ana taka akatabiliwe yeye au?? Ebu wana cuf hacheni mbwembwe tuunganeni ili tukamtoe huyu adui madarakani
  8. J

    Watanzania tunahitaji rais mzalendo mkali, mwadilifu na anaependa raia wake kama Mugabe

    Wa Tz mtu ambaye kwa sasa anweza kuwa rais wawatanzania ni mmoja tu Dr.Slaa
  9. J

    Tundu Lissu ni mgonjwa leo nimeamini

    Mmmmh me cmo
  10. J

    Hatimaye Tumbili kajulikana!

    Ag aliye timuliwaa
  11. J

    Hawa Ghasia ni mweupe kweli kweli! Sijui huo uwaziri kaupata kwa vigezo gani!

    Anaweza kumhudumia bosi wake utamu ndo maana yupo kwenye hiyo nafasi!!
  12. J

    Mtoto wa Mkulima amuumiza Lowassa

    Hachana na ndoto za renacha hayo mazombwe yana pesa nyingi haya wezi kushika JEMBE la mkono!!!!
  13. J

    Mwigulu Nchemba, amwombe radhi Dr. Slaa

    Wa tanzania jueni angalieni fikirieni na oneni njama za Ccm kuanzia cku Za nyuma uyu mshenzi nataka uraisi sasa jichanganyeni kwa mwaigulu mtayakuta kama ya Kikwete !!!!!!!
  14. J

    Wosia wa baba wa Taifa

    To gether we can in hemesphere of awereness us majority of Tz now we are awere of what's prevails over us that make look sad while we are hand some&beautiful thus the time is around to make a wise judgements for these pirates of OUR resources
Back
Top Bottom