Wadau nilinunua hii mashine mwaka jana mwezi wa 11 hivyo bado mpya ina milango 8 na master,shilingi 600,000/=,kinachonisababisha kuuza ni kukosa usimamizi wa biashara niliyotaka kuifanya. Mawasiliano 0717986042
mbona umeandika mawazo yangu niliyotaka kuandika humu?Naunga mkono hoja afukuzwe haraka kabla ya kuchafua ama kweli "kinyesi walikitoa chooni na kukiweka sebuleni"Nukuu za Dr. Slaaa
Naandika hili nikiwa na masikitiko makubwa na nimeumia moyoni.Niliposikia kiongozi mkubwa wa upinzani kuhamia CCM Nilikimbia dukani mara moja kununua voja ya 5,000 Ili niwe wa kwanza kumuona kiongozi huyu mkubwa ambaye angeweza kuandika Historia Duniani hata Mbinguni.Kadri muda ulivyoenda...
umeshiba nini asubuhi hii?Leo umeona ni busara kutokujibu hoja za Lisu sababu ni mgonjwa,wakati uchaguzi wa Naibu meya mlitaka kufanya huku mgombea akiwa mahututi.Jibuni hoja,pia mjua Mungu sio "SKUNK"
Nimesoma makala hii nimegundua kuwa wasiojulikana wanamiliki kampuni kubwa nawana pesa ile mbaya,kumbe walianza nzamani
IKIWA imepita siku moja tangu Rais John Magufuli amwagize Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, kuchunguza undani wa suala la umiliki wa kampuni ya simu ya Airtel...
Unatakiwa kumpangia majukumu kulingana na mshahara wake,mwenzio nimempangia kuwa yeye anahusika na mambo ya chakula cha nyumbani na menu ya aina ya chakula tumepanga ili kuepusha kula kande kila siku,akikushinda mshtaki kwa washenga,shangazi zake,mama yake hata dada zake ili wamwambie.Kiukweli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.