mtoa mada ametupatia elimu nzuri, ukisoma vyema na kutafàkari yaliondikwa kwenye pointi zake, hazina "nguvu ", naona sehemu nyingi "dona ina kiasi kidogo cha wanga..." haujatuambia ni kivipi...
kaka...acha makasiriko...izo zote facts hapo...hajadanganya...ama kuna seem kuna tatizo...ongezea tuone au punguza lenye uongo...[emoji1666][emoji1666][emoji1666]
sidhani kaka...kuhusu uhalifu nadhani iyo ni tabia ya mtu tu na sio bangi...hii dhana ya kua mvuta bangi ni mhalifu (inayosambazwa na wanaopinga matumizi ya bangi) naona kama inajengeka tu akilini kwa mhalifu ambae pia anavuta bangi "manipulation" na sio kwamba baada ya kuvuta ndio anakua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.