Baba ilham
Member
- Dec 19, 2018
- 24
- 40
Umenena vizuri sana mkubwa, mwenye macho na aone asisubr kuadithiwa, wanaume wa dar washazoea kula sembe afu miguu juu kutizama season mazoezi hawafanyi matokeo yake kila mtu ana kitambi na uzito uliokithiriMleta mada nakusifu kwa kuandika makala hii ndefu..
Mimi pia ni mtaalamu wa Nutrition lakini kiukweli ni mvivu kuandika...