Kwanini mechi haikusogezwa siku moja mbele ili wafanye mazoezi chini ya uangalizi wa bodi?
Timu kama Simba kukosa mazoezi ya masaa mawili 'eti' ndo ipelekee kushindwa kucheza?
Siamini kama wachezaji wangeulizwa wangegoma kucheza.
Usanii na upuusi plus plus!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.