Recent content by Iza

  1. Iza

    David Kafulila: Matumizi mabaya ya fedha za umma yamepungua kipindi cha Rais Samia

    Pongezi sana kwa kweli. Lakini, alaaniwe aliyesababisha tukakosa watu wenye weledi kuendesha vipindi vya asubuhi vya habari.
  2. Iza

    Kwa jinsi nilivyo handsome, nikienda Oral interview watanikubali tu

    Kabisa unaandika na kupost huu upupu. Wazazi wa Gen Z walaumiwe mno kwa haya malezi ya hovyo!
  3. Iza

    Nimekuja kujua kwamba wife kanisaliti mwaka jana mwanzoni

    MwanaFa aliimba(ga) "....wakikumegea demu wako nawe tafuta mnyonge ummegee haipunguzi maumivu inarudisha hadhi ya kiume..." Wimbo: Bado Nipo Nipo
  4. Iza

    Mke anaweza kuchepuka hali yakuwa ananyonyesha mtoto wa mwaka?

    Kuna mengi ya kufanya. Muache
  5. Iza

    Simba haikugomea kucheza mechi na Yanga

    Haki ambayo hawakuitolea taarifa kwa mamlaka za uwanja, tff wala timu mwenyeji kuwa muda fulani watakuwepo? Hakuna haki ilikataliwa
  6. Iza

    Simba haikugomea kucheza mechi na Yanga

    Kwanini mechi haikusogezwa siku moja mbele ili wafanye mazoezi chini ya uangalizi wa bodi? Timu kama Simba kukosa mazoezi ya masaa mawili 'eti' ndo ipelekee kushindwa kucheza? Siamini kama wachezaji wangeulizwa wangegoma kucheza. Usanii na upuusi plus plus!
  7. Iza

    Karia: Wanaosema Bodi ya Ligi ijiuzulu timu zao uongozi upo sawa?

    Kama haupo sawa, taratibu na kanuni si zipo kwanini hazifanyi kazi? Aache kutumia hisia!
  8. Iza

    PreGE2025 Wafuasi CHADEMA wavamia nyumbani kwa Mbowe kumlazimisha achukue Fomu ya kugombea Uenyekiti

    Kweli ni mwamba, aliwapiga chenga Polisi kwenda kwenye maandamano lakini wanachama wake wamemkuta bila taarifa. Safi sana!
  9. Iza

    PreGE2025 Lissu: Sina mpango wa kuhama CHADEMA, Msigwa sio Tundu Lissu

    Kuna wakati niliwaza mdahalo kati ya Yericko na TAL. Rasmi nilikuwa naota!
  10. Iza

    Ndoa ina faida gani ?

    Haina. Wazee sometimes wanazinguaga!
  11. Iza

    Hongera sana Dr. Rose Muhando

    Ila "wazungu" wanajua kulamba fedha zetu kilaini sana.
  12. Iza

    Rigathi Gachagua atakiwa kuripoti ofisi ya DCI kuandikisha maelezo ya madai ya majaribio ya kuuawa'

    Uzuri ana mawakili mahiri, japo pia naona hii saga haiishi leo wala kesho!
Back
Top Bottom