Zitto ni mpuuzi tu. Alizoea kupiga pesa kupitia scandals za ufisadi enzi ya JK.
Kazi yake kupotosha public opinion.
Nyakati zimebadilika hvo na yeye abadilike.
Maaskofu hawa tuwajuao haswa wa KKT ambao hugombania madaraka mpk kupelekana kortini na mpk wkt mwingine serikali kuingilia kati kusuruhisha migogoro yao?
Leo mnataka kuwapa u-mungu?
Hebu acheni kbsaa utani.
Hamna kitu hapo. Tusiwavike maaskofu sifa za kimungu. Hawana ushawishi kwa kiwango hicho unachotaka kuwapa.
Wao wenyewe wapiga dili tu. Inaonekana kuna sehemu wametaitiwa tu ila hawataki kusema waziwazi. Mianya yote ya kukwepa kodi kwa mgongo wa kanisa imezibwa.
Hvo lazima wapige hzo kelele
Kbsaa. Hayo2 makanisa yalitumika kuingiza unga nchini pia kutorosha madini yetu. Pia makanisa yalitumiwa na mafisadi kukwepa kodi ya bidhaa mbalimbali.
Utekaji,kuzuiliiwa maandamano hajaanza havijaanza kipindi hiki. Why matamko haya kipindi hiki?
Kuna kitu hawa Maaskofu hawajakiweka wazi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.