Nakushukuru sana ndugu kwa kumuelimisha ndugu huyo; mimi nimelima nimepata mpunga nauza. nimefanya sehemu yangu kuufahamisha umma kuwa nina mchele nauza. wengine wameeelewa, wataelewa,wengine watabeza, wengine watadharau na wengine watafuatilia hasa wenye nia ya dhati. Wengine watawaelimisha wengine