Nafasi ya Spika na naibu wake iwe ya kuajiriwa, vigezo viwekwe watu watume CV interview ya wazi tena mubashara kwenye tv (wakenya wanafanya hili wanapomtafuta jaji mkuu na msaidizi wake).
Kwa utaratibu huu hata chama tawala kikiwa Ada Tadea, yaliyotokea yatatokea tu. Kuna watu sehemu walikua...
Hawa Maaskofu kipindi wakiwa ktk daraja la Uchungaji wanakuwa watumishi na viongozi wa kiroho kwa baadhi balaa huanza baada ya kupanda na kupata daraja la Uaskofu, hugeuka na kuwa watawala na si watumishi tena na maamuzi na mipango yao hujaa siasa siasa.
Sasa kama huyu Askofu sijasikia kama...
Hivi for five years kama Scheduled Maintenance zingekua hazifanyiki na system ya Distribution ya Tanesco ilivyo ingekua imeshacollapse muda mrefu sana.
Ktk kipindi hicho anachosema Service hazikuwepo binafsi kwa mara ya kwanza nilisikia Tanesco wanapita na gari la matangazo wanatangaza kuwa...
Hebu fafanua zaidi kwa uelewa wako hilo jina beki 3 limetoka wapi na kwa nini likahusianishwa na wafanyakazi wa ndani na kisha fafanua sasa madhara yake ni yapi yaani sifa zinazobebwa na hilo jina beki 3 linamuathiri vipi huyo mfanyakazi wa ndani.
Je! Azam wametamka kuwa mfanyakazi wa ndani...
Kwenye barua kuna sehemu imeandikwa "matendo hayo yanatweza fedha ya Tanzania..."
jamani, jamani, jamani hivi ukweli wa hilo uko wapi, nimejikuta nacheka tu. viongozi pambaneni na serious issues ktk hili taifa, fedha ya nchi haidharauliki kwa sababu ya kutunzana
Binafsi hua naamini tatizo lilianza kwenye hii hesabu "1+1=haraka haraka wakajibu 2"
Kama wangefikiri nje ya box na "1+1= ikawa 1 au ikawa 3" leo tungekua hatupotezi muda kujadili issue kama hizi.
Okay...binafsi naamini majibu unayoyatafuta yako ktk hayo hayo unayoyafanya.
Kwa mfano, to be specific; sasa hivi ni kazi/shughuli gani unayoifanya au uliyonayo ambayo inaenda vibaya au badala ya kuleta faida inaleta hasara.
Uko sahihi Mkuu, maoni yake yachukuliwe kama maoni ya mtu mwingine yeyote tu maana hakuna ajuaye kitu gani kinachomsukuma kusema hayo aliyoyasema.
Pia ni vema tukakumbuka hata Mapepo kwa hila/unafiki husifia kazi ya Mungu;
Matendo 16:16-19
" Siku moja, tulipokuwa tunakwenda mahali pa kusali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.