Recent content by itajulikana

  1. I

    Msaada kuhusu email kwa wazoefu

    Namba kwa mtu yeyote anayejua set up za email. Naomba nijue mnafanyaje ili kila napo tuma email zangu kwa watu mbalimbali ziwe zinaapia na full address kwa chini bila kuwa naandika mara kwa mara kwa chini. Shukrani kwa masaada wenu.
  2. I

    Dr.Slaa hapa wewe unahusika moja kwa moja

    Mh. Dr. Slaa. Naomba kuwasillisha hoja zangu 2 kwa sababu wewe ndo unapaswa kubeba hizi rawama moja kwa moja ukiwa ndo mtendaji mkuu. 1. Wabunge wetu wote wawili jijini Mwanza wameamia Dar es salaam pamoja na familia zao wanakula maraha, na wakiacha mwanza haina viongozi wa kuwatetea...
  3. I

    Naomba ufahamisho

    Jamani mnisaidie dawa ya jino ya kienyeji
  4. I

    Picha: Hivi ndivyo ilivyo kuwa bungeni Feb 04, 2013

    Lisu ni kiboka, hivi ccm hawakumwona mapema waka mchukua?
  5. I

    Kwa wale mnaopenda 'Mambo ya Mombasa', tahadhari sana!

    Mbona mawazo ni huko huko tu? au kwakua ndo ulipitia?
  6. I

    Una miaka 37-45?

    ebu toa contact vzr. kuna mtu anakutafuta
  7. I

    Nimeingia choo cha kike ...........! (4)

    wewe ubu maliza bwna acha mzaa
  8. I

    Nimeingia choo cha kike ...........! (4)

    boss acha mzaa bwana sisi tunapata burudani wewe unareta poz? mliza uende kwenye kikao chako bwana....
Back
Top Bottom