Uko sahihi mkuu, hata mimi niipiga nikajibiwa kwa mshangao mkubwa kuwa oooohh...hajawahi kuweka namba humu.. Ila sio vizuri kama huna uwezo wa kumsaidia mtu kwanini ujipendekeze kwa kufanya hivyo? Inakera sana.
huyo mtoto anaumri gani mkuu?? kama mama mkwe wako anamudu kumlea mpelekeni na mmpe sapoti ya kumtunza huyo mtoto.. kama inashindikana mlee tu mkuu. kwani ukipenda boga ukumbuke kupenda na maua yake.
Yaani ningekuwa na mwanaume kama wewe ningejionea huruma sana.....inakuwaje kitu kidogo hivyo anakuuliza mkeo unakimbilia kukileta hapa?? uko sawa kweli?? umekamilika kweli wewe?? nahisi we ni mwanaume mbeya.!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.