Thanks very much watu wengine wanadhani mimi natania lakini hawajui uchungu wa kutafuta elimu sio rahisi kuweka information zangu zote mtandaoni lakini mimi niko serious natafuta kazi kwa ajili ya kusaport elimu yangu nimejieleza hapo vizuri tu kwania njema ila watu wengine wameshaanza kuniita tapeli kweli watanzania! kuna njia nyingi tu mbadala ningeweza kuzitumia kupata pesa lakini mwisho wake si mzuri kwa nini tunakatishana tamaa wadau? mnatakiwa kunisapoti na kunipa moyo na si kuni vunja moyo.