ukweli ni kuwa mada hii ni nzuri sana. ila kichwa cha habari kama inawezekana kifanyiwe marekebisho. Elimu yetu hata kule VETA naona ni mh!!! kuajiriwa na si kujiajiri. Na ukiajiriwa tu imepotea elimu yako.
funguka bro sikuelewa. Nimesema kama ndo ninayoifahamu. nimekua nikiisoma tu kama guest. Kama siye haipotezi kitu. Nimeona, nimetoa maoni shida iko wapi. Sisi ni kutoa maoni tu au kunyamaza. lakini kama ndiye ninaye mfahamu mmewe ni moto. maadamu hakutajwa basi sijipi uhakika wa 100%.
Ni ukweli usiopingika, serikali ikae chini kutatua matatizo sugu ya waislamu. Hii ndiyo maana ya serikali. si kuingia na kutoka tu ofisini wakati kuna jambo gumu kama hili
Kesi hii kama ndio ninayoifahamu, mama huyu ni mtu wa dini sana sana, alimwamini sana mmewe. lakini sisi tunaomjua mmewe... yatosha. Na ana bongo sana mama huyu (kama ndiye ninayemfahamu) hapa jamii anakusanya vilaka vya anachohitaji, akakamilishe alilonalo kichwani. Msimdharau hata kidogo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.