Hapa ndo unakuja ule usemi.. "unajibagua mwenyewe kabla haujabaguliwa"... swali dogo tu.. ivi kesi ya hao mashekh ni sababu ya imani yao au sababu ya matukio wanayohusika nayo!? Mbna mnachanganya vitu ili mradi kuamsha hisia za wengi ili kutokee taharuki nchini.. rais ndo msimamiz wa vyombo vya...
Hii makala ukiangalia kwa jicho la tatu ni mtu anaehitaji jinsi ya kupenya kwenye siasa za tanzania.. na je kwann!? Maana kwa CV hyo inahitaji uzalendo mkubwa mno kurudi nyumbani TZ na kutaka ubunge tu!.. mi nahisi kuna urais wa mwaka 2025 unatafutwa apa..
Bro embu kaangalie ada za medical schools then uandike tena hyo makala yako ya uwezo wa kusomesha mtoto private.. mzazi analipa milion mbili ila ndo kashamaliza kuanzia chakula sehem ya kulala mpaka uniforms za huyo mtoto.. medical school ni million nne ada.. malazi na chakula mwaka mzima...
Hao unaosema wapewe ndo watakuja kuweka na msalaba kabisa.. jembe lilosimama kwenye ukweli lilishasepa.. waliobaki wengi misimamo yao ni haieleweki.. inatuvunja moyo wapinzani.. tukianzia kwa lowassa.. kugoma bungeni.. ukuta.. yani mambo hayasimami pahala pake..
Ila we jamaa ni buyu kichizi.. ulivoandika kwa umakini afu kumbe ni makorokocho matupu.. sio sababu hujafika chuo kikuu basi iwe shida.. bora ukae kimya..
Sisi waTZ sijui nani katuloga.. yani najiuliza mfano serikali ingejipinda hzo ndege mbili hela yake wangeifadhi ifike wanunue hayo mandege makubwa ambayo yatakua hayawezi kutua viwanja vingi vya ndani na zikawa ni gharama kuzipanda kwa safari iwe laki mbili..
Wakati uo uo watu wanalaani safari...
Siku magufuli anaapishwa kua rais alikua akisisitiza mno.. Tena kwa msemo wake wa kila siku "kutoka moyoni mwangu.. Nitashirikiana na mtu yoyote kujenga maendeleo.. Sitabagua"..
Hii kauli aliitumia sana.. Mpaka tukahisi labda anajipendekeza upinzani.. Ila hatukumuelewa..
Magufuli...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.