Recent content by Issack Peter

  1. Issack Peter

    Rais Kagame azidi kuongeza ndege, anunua Boeing 737-800. Pangaboy mpo?

    Si bora iliethubutu kununua pangaboy kuliko wale walokuwa wanatafuna wenyew na familia zao!! Tujifunze kuwa na shukran watz
  2. Issack Peter

    BAKITA yatema cheche na kusema katika Kiswahili hakuna neno Makinikia bali neno sahihi ni Mashobo

    Wasomi wa tz kawaida yao kulumbana kwa vitu visivyo na faida..
  3. Issack Peter

    TAKUKURU mnakosea hapa, kwa ujumla umuhimu wenu hatuuoni

    Ata rais pia ana mashaka sana na utendaji wa kazi zao, nahis wazo lake ni kufumua mifumo yote na kuajili upya
  4. Issack Peter

    Watanzania acheni unafiki

    Kwan kuna mkataba gan umeongelewa apo kwenye ripot?? The issue is watendaji wa serikali ndo wamesababisha upotevu wa pesa kwa kutokuripot wizi uliokuwa unaendelea kwa maslahi binafsi ndo maana mkuu kaamuru wachukuliwe hatua na haina uhusiano wowote na mkataba hadi hatua hii may be baadae...
  5. Issack Peter

    Rais Magufuli aamuru Madaktari walioomba kufanya kazi Kenya waajiriwe nchini mara moja

    Hakuna mzalendo, wote tuna njaa tu, tunahitaji kushibisha matumbo yetu!
  6. Issack Peter

    Tanzania tulichelewa kumpata Rais kama Dr. Magufuli

    Kwan mliman city wanasaidia nn apo chuo?? Its better wangejenga hostel tu!
  7. Issack Peter

    Zifahamu hatua 11 zinazofuatwa wakati wa kuchoma mwili wa marehemu

    wakigeuka tu, marehem anafufuka!! so, take care!
  8. Issack Peter

    Pugu: Rais Magufuli azindua ujenzi wa Reli, asema dereva mzuri hasikilizi maneno ya watu

    Yaan hum kila mtu anamuongelea makonda tu inaoneka anawakuna eeeh???!!!!
  9. Issack Peter

    Pugu: Rais Magufuli azindua ujenzi wa Reli, asema dereva mzuri hasikilizi maneno ya watu

    Afadhal acje kabisa maana ataongeza jam tu, aende jimboni kwake wapiga kura wake hawajamuona tangu october 2015
  10. Issack Peter

    Mbunge atakayeingia Kamati ya kuichunguza TISS atakuwa amejiteka mwenyewe

    Huku jf hakuna maana yoyote maana kila mtu anaongea kulingana na uwezo wa akili yake tu hakuna cha great thinker wala nn, mi naingia huku kutoa stress tu ila hakuna cha ziada tunamtengezea mero kamisheni tu aendelee kuwa tajiri!!
  11. Issack Peter

    Siri ya mafanikio ndani ya mashine za betting

    Asalaam aleykum ndugu zangu, naomba kupata maelezo jinsi ya kupata machine ya betting naihitaji sana maana huku mtaani kwetu ipo moja tu, nataka niwapunguzie folen vijana maana hii pia ni ajira kwa vijana wanapata pesa za bwerereee
Back
Top Bottom