chrissmeck
Senior Member
- Nov 14, 2013
- 110
- 105
Kumekuwepo na mijadala kwenye mitandao ya kijamii inahusu mzee huyu anayefahamika kuwa ndo aliyebuni nembo na taifa ambaye saa hivi anapokea matibabu muhimbili kwa hisani ya serikali, ila kuna watu wanaosema sio yeye aliyehusika na huo ubunifu. Kwa wale wanaomfahamu mzee waje watupe ukweli.Moja ya posti hiyo hapo chini.