mimi nimechaguliwa kidato cha tano katika shule ya kimamba iliyopo kilosa uko morogoro lakini kutokana na hali ya kiuchumi sikuweza kusoma tuition na nimechaguliwa mchepuo wa PCB je naweza kupata matokeo mazuri msaada plz
natunguliza heshima wana jf! mimi nimechaguliwa PCB katika shule ya kimamba iliyopo moro lakini kutokana na hali za kiuchumi sikuweza kusoma tuition je? naweza kufanya vizuri katika matokeo yangu
wana JF naombeni kwa mtu yeyote anayeifahamu shule ya kimamba sec iliyopo kilosa mimi nimechaguliwa kwnye hii katka tahasusi ya PCB. Kwa yeyote anaifaham anipe namba yake
wakuu! hv kuhusu join instruction itakuwaje! mana naona siku za maandalizi ni alafu ata kama watatuma kwa njia ya posta huwa wanachelewa sana mimi nimepangiwa kimamba sec (PCB)
wakuu! mimi nimechaguliwa kwa comb PCB kimamba secndary! lakini napata shaka na hii shule kwani inaonekana ilikuwa aina advance level! wana jf msaada wenu kama mtu anaitambua hii shule
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.