Recent content by Issa de breeze

  1. Issa de breeze

    CAS wameongeza muda wa kutuma maombi ya usajili

    Hiv hadi open University na penyewe kuna deadline ya kufanya application ya diploma?
  2. Issa de breeze

    Kuna athari zozote kama mtu akiaamua kuacha ualimu na kufanya hivi?

    Kubadil fan inawezekana mbna kambin kwetu kepten wetu awal alikuw Mwl wa sec baadae akawa mwanajesh ndo saiv ni kepten.Kw hyo na yeye sio mtumish wa serikal au!?
  3. Issa de breeze

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo serenget nije Arusha,Kilimanjaro na Tanga 0653326255
  4. Issa de breeze

    WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Njoo serenget nije Arusha Kilimanjaro na Tanga
  5. Issa de breeze

    Kauli zipi zinazokuchukiza hapa duniani?

    Umeonaa Machibo ndo mana wa tz hatuendelei kila siku story zile zile husipompgia eti umemsusa na ukimpgia kila siku lazima mizinga ikuhusu .
  6. Issa de breeze

    Kwanini wanaume wa Tanzania wapo hivi?

    Umeonaa kabisa yan hii too much sasa mizinga imezidi afu tukifulia wanatak imbibe..!!
  7. Issa de breeze

    Uyatima unanitesa kichwa kinauma kila siku

    Pole sana ndugu yangu mungu u na we usijali
  8. Issa de breeze

    Hivi kwanini wadada wako hivi

    Wakina tibaijuka walikuwa nazo nyingi tu lakini bado waliiba
  9. Issa de breeze

    Hivi wanawake mmezaliwa na genes za kuomba hela?

    Umeonaaaaaa dabo mbona bungeni wanaenda bure afu bado wanakomaa 50/50!!.Hawa viumbe ni kiboko dah.. Mwenyewe mpaka saivi mzinga unanihusu...
  10. Issa de breeze

    Hivi wanawake mmezaliwa na genes za kuomba hela?

    Wanaboa sana mtu anafanya kazi lakini yeye kila kitu ni kuomba omba tu
Back
Top Bottom