Recent content by ISONIAZIDE

  1. I

    Wawakilishi 1,257 Nchi nzima: Baada ya Uchaguzi Oktoba 28, tutarajie nini uwakilishi wa Wabunge?

    Uchambuzi mzuri, kwa kusahihisha tu kidogo: Wabunge wa viti maalum wanatokana na idadi ya kura za Ubunge na sio Urais.
  2. I

    Manji kumkataa Wakili Kibatala 'kwa sababu za kisiasa', ametishwa na nani?

    Tatizo Bavicha hata huwa hamjisumbui kufanya utafiti hata kidogo.Katika kesi zote za msingi za Manji kuanzia Ile ya madawa ya kulevya anatetewa na mawakili watatu Alex Mgongolwa,Seni Malimi na Hudson Ndusyepo na Kibatala hajatajwa katika kesi yoyote kati ya hizo.Katika kuomba dhamana mahakama...
  3. I

    Naomba kufahamishwa kuhusu Scholarship ya Algeria kutoka TCU

    Sasa mtu unaishije?? Ina maana maisha huko ni rahisi sana?? Mwenye Information plz
  4. I

    Tuliosoma Azania Sec tukutane hapa

    Mwalimu DATHI,wa Chemistry aliyekuwa na asili ya Kihindi kamwe sitaweza kumsahau,kwangu alikuwa mwalimu bora.hiyo ilikuwa 2002-2006
  5. I

    Mabalozi wote walio nje ya nchi kurudishwa

    Inaonekana hujawahi ishi nje ya nchi,mabalozi wana msaada mkubwa sana kwa watanzania waishio nje pindi wapatapo mapatapo matatizo mbalimbali
  6. I

    CHADEMA yashinda udiwani kata ya Saranga

    UKAWA safari hii wana kila dalili ya kutoa meya
Back
Top Bottom