Hongera kwa hilo lakin swala linaloitwa ndoa ni taasisi inayojitegemea tena ni ngumu kuiishi kama haujafanya utafiti mzuri wakati wa kuliendea.Swala la kuandika humu tangazo na vigezo vyako kama unatafuta mfanyakazi wa ndani au dukani mh unanitia mashaka kama upo seriously. (HASA KWA DUNIA YA SASA)
Hakuna sababu ya kuegemea upande wowote hasa sisi wa Dunia ya tatu hivyo acha wagombane na wapatane wenyewe sisi hatuna nguvu za kiuchumi wala haluna msaada wowotee wataupata hao ambao tutakuwa upande wao.acha tu mute.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.