Huyu babu ni mganga wa kienyeji kama waganga wengine ila tu kinachombeba sana ni kuwa askofu mstaafu,hiki ndicho kinawaingiza wengi mkenge.
Shemeji yangu mama yake mzazi amekufa mara tu baada ya kutoka Loli na mwingine mkazi wa manzese mkunguni kafia kwenye gari akitikea Loli kwa babu.Sasa...
Mnyika usitafute umaarufu kupitia kwa JMK yale maji marefu huyawezi, utazama buree kwa kutafuta sifa.
Huyu aliyesema maneno haya kama ni kumchagulia adhabu basi ni KIFO tu ndio adhabu anayostahili.
Kwa hakika ushindi wa Mpoki katika mashindano haya umedhihirisha kuwa watanzania wanajali sana kampeni kuliko uhalisia wa uwezo wa mgombea katika nafasi husika.Mpoki ameshinda kwa sababu alikuwa akifanyiwa sana kampeni katika kipindi chao cha Ze Komedi,fursa amabayo Mpoto hakuwa nayo.
Kiukweli...
Kama watanzani tunaoulazima wa kuisikiliza hotuba yake tena kwa umakini sana ili pale ambapo panahitaji kukoselewa pakoselewe,sasa kama wakati hotuba inaendelea na watanzania wanaangalia habari za babu wa Loliondo na kwengineko na tamthilia je atakosoa? na je wenye ufahamu mdogo nani...
Mambo vp wana Jamii ndio kwanza naingia kwenye mchakato huu,tafadhali nipokeeni na mnipe muongozo mzuri ktk kuiweka sawa Tanzania yetu.Tanzania ni yetu na hakuna wa kuijenga isipokuwa sisi watanzania halisi wenye uchungu na azalendo na nchi hii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.