Ujinga sio wa kabila, na hakuna uthibitisho wowote unaelezea ujinga wa kabila fulani. Rejea maana tafsiri ya ujinga ni nini utagundua kua hata wewe ni mjinga.
Huyu jamaa kaelezea hali aliyoiona tangu kipindi cha nyuma na mlolongo mzima wa mchango wa serikali katika miundombinu na mazingira...
Unatakiwa uende HESLB na barua ya kuahirisha masomo ili usitishe mkopo, hata hivo mwaka ambao utataka kurudi masomoni ni lazima utume maombi ya mkopo tena. Ndivyo ninavyofahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.