Ndugu wana jamvi nikiwa kama mmoja wa wakazi wa kivule naomba mawazo yenu pengine ninyi mliwahi fanikiwa mlipokuwa na shida kama ya kwetu.
Ili kufika kivule njia kuu ni moja kupitia banana - kitunda - kivule, ni barabara yenye urefu wa takribani km 12hv
Kero kubwa tunayokabiliana sisi wakazi...
Mkuu gari yangu toyota ist inatatizo la kukosa nguvu, inakosa speed kabisa na unaweza kanyaga accelerator mpaka mwisho isifike 120km/hr. Tatizo linaweza kuwa nini?
Kwa mazingira ya sasa hakuna tija kugombea unaweza ishia gerezani. Ili tuishi kwa amanai wacha ccm ishinde nafasi zote bila kupingwa na tunaimani baada ya miaka miwili kwa uongozi uliotukuka nchi itapaa kimaendeleo na kuanza kutoa misaada kwa nchi za ulaya
Wanaweza kugomea kama mazingira yatakiwa hivi sababu watatumie pesa yao nyingi kwa kampeni alafu mshindi anatangazwa kabla ya kuta kuhesabiwa. So kuliko kuchoma kionua mgongo chao itakuwa vema kwao kutogombea na ikibidi chama wafute
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.