Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa dar,ninasomea mambo ya business Administration mwaka wa pili.kutokana na hali ya maisha kupanda inanilazimu kutafuta kazi ya tempo ili niweze kujikimu kimaisha pamoja na shule pia.nina experience ya muda mrefu ya mambo ya sells and marketing kwa yoyote...
Mimi ni kijana wa miaka ishirini na sita ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa dar natafuta mdada mwenye miaka 25 na kuendelea awe anayejitambua kabila lolote sichaguii dini wala kabila kama upo interested unaruhusiwa ku pm sina mapungufu yoyote. Kwenye mwili wangu nipo fresh
Mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu hapa jijini kutokana na hali ya uchumi kupanda nimeamua kutangaza kwenu wanajamii forum kwa yeyote aliye na nafasi kwenye ofisi yake ambayo iko wazi asisite kunisaidia ili niweze kujikwamua kimaisha naomba kuwasilisha.
Habari wana jamvi mimi ni mwanafunzi wa chuo kikuu flani hapa bongo
kwa yeyote mwenye kujua sehemu ambapo ninaweza pata part time job
naomba aniunganishe nina uzoefu na mambo ya sales and marketing.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.