Recent content by Ishobezay

  1. Ishobezay

    Bila Magufuli kuwa Rais wa Tanzania haya yasingewezekana kutokea ndani ya kizazi chetu

    daraja la JPM lina umuhimu sawa na tanzanite na Nyerere kigamboni, hizo hela zilizotumika kujenga Nyerere na tanzanite pia zingeweza kujenga miundo mingine
  2. Ishobezay

    Mikoa mibaya zaidi kufanya biashara ya Real estate au Nyumba

    nenda Kahama pako vizuri kibiashara na kwa wapangaji
  3. Ishobezay

    Kabila gani ni nzuri kuoa hapa Tanzania

    wasukuma wa Shinyanga
  4. Ishobezay

    Ni sahihi kuachana na mwanamke uliyemzalisha watoto wawili?

    mleta mada fuata huu ushauri mi yalishanipata kwa hali kama hii,muombe msamaha mkeo arudi mlee watoto
  5. Ishobezay

    Kwanini Mwanza isipate Uwanja mzuri wa mpira?

    mbeya na mwanza panatakiwa vijengwe viwanja vya kisasa
  6. Ishobezay

    Bayport ni hawafai

    waone utumishi ikishindikana muone mkurugenzi
  7. Ishobezay

    Msaada: Napatwa na maumivu makali kifuani kama nachomwa kisu

    Hii hali huwa inanitokea ninapokunywa kvant nikichanganya na soda ya coca
Back
Top Bottom