Habari za Asubuhi ndugu zangu,
Najaribu kulog in kwenye Gmail yangu ya zamani lakini sikubuki password na namba ya simu niliyo tumia zamani haipo Tena kwa hiyo nikiomba rest PIN NUMBER inashindikana
Nifanyeje?
Naomba msaada.
Habari Wana Jamie forum
Nahitaji msaada kwa mwenye Tonner za rangi nne
1.616c Tonner ndogo
2.622Y tonner kubwa
Naomba bei pia nitumie picha kuhakikisha kama ni wenyewe
Nahitaji Box 100 plus
Naweza kufuata au ukanitumia itategemeana na makubaliano yetu
Nauhitaji haraka iwezekanavyo...
Inaangaliwa pia consistency...Kama alikuwa anapanda na kushuka kwenye ...na kuna mwamba yeye alikuwa anamaintain and above hata wakilongana huyo mdogo wako hawezi kuwa best ...na vigezo vingine kama marks scores and so on
Issue sio kujua vifungu vya sheria, bali ni kujua mazingira ya kosa na kufanya maamuzi sahihi...sheria ukitaka utatunga kila siku...Mfano family law...isomeni kwa makini mtajua kama haituhusu au inatuhusu na tulicopy wapi na kupest wapi...
Uongo...ifunda Tanangozi, Tosamaganga hali ni moja Bro...Labda ukivuka makambako ukanda unabadilika ..Mimi ifunda nimesoma pale nilikoma
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.