BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,046
- 10,473
- Thread starter
- #21
Na wewe humo kwenye hiyo asilimia.?Usikute zaidi ya 97% ya raia wa Tanzania ni Usalama wa Taifa na maafisa kipenyo; sasa hapo sijui nani amgeuke nani!???
Na wewe humo kwenye hiyo asilimia.?Usikute zaidi ya 97% ya raia wa Tanzania ni Usalama wa Taifa na maafisa kipenyo; sasa hapo sijui nani amgeuke nani!???
Makomando wa kupambana kwenye social mediaWananchi ni makondoo
Mbona tungali watumwa hata sasaHa ha haa. Mwenge si nembo ya uhuru ukitupwa Kuna possibility za kurudi zama za utumwa wa mwili mpaka akili.
Hayati aliwatambua kama WanyongeWananchi wa Tanzania ni wazalendo
inabidi uchanjwe wewe sio mzimaUkitaka kufungua akili za watz tupa mwenge baharini
Hakuna kitu kama hicho. Serikali haioni shida kukupa Billioni 4 iliugeuke msimimamo wako na mgeukane, hata mkiwa 100 wote mtapewa, kesho wanaongeza tozo kwenye Bidhaa pesa inarudi.Tafsiri ni kuwa hawa Wana usalama wetu shule imo kichwani that why wana mikakati iliyo madhubuti
Ndio maana mchunga ngombe Mwigulu mchemba anajifanyia anavyotaka.Ukiweza kuchunga ng'ombe utoshindwa kuongoza watz
Swadakta.Watanzania wengi ni waoga
UKweli nikwamba sina maana Polisi wetu ni dhaifu la hasha ,! Ila raia ní waoga kupitiliza mno na hawawezi tutetea haki zao hata pale wanapodhulumiwa waziwazi hawapo tayari kufanya chochote hivyo kuwapa polisi sifa wasizostahili wakati mwingineikumbukwe Mimi Baba Morgan nia yangu sio kuhamasisha maandano ni kuhoji kwa nia njema kabisa na kupongeza vyombo vyetu vya ulinzi kwa kuweza kudhibiti maandamano na migomo isiyokuwa na tija kwa taifa na vilevile kuwaomba vyombo vyetu vya ulinzi kushare ujuzi walionao kwa mataifa yanayokabiriwa na maandamano Mara kwa mara
Tunashuhudia kwenye vyombo vya habari wananchi wa mataifa mengine walivyo wepesi kuchukua hatua hasa ya kuandamana pale panapotokea sintofahamu baina yao na serikali ili kushinikiza hatua flani zichukuliwe.
Nchi Kama Myanmar ambayo ina utawala wa kijeshi ilishindwa kudhibiti maandamano ya wananchi wake lakini kwa Tanzania vyombo vya ulinzi vimeweza kudhibiti hata mawazo ya kuandamana vichwani mwa raia wake haya ni mafanikio makubwa kwa IGP
Kwa upande mwingine yawezekana vyombo vya ulinzi havina uwezo huo tunaodhani bali uoga wa raia unafanya vyombo hivyo kupata sifa wazisostahili Aya Ni maoni tu.
Maandamano sio kitu chema madhara yaliyotokea South Africa wote tunayajua.
From northern part of Tanzania.
Sifa mama watz sio wagomvi wagomvi na ukimzingua anakupuuza au anakusubiria mahali kwenye mstari aliokuchorea kuwa huvuki hapo mpaka umjue yeye ni nani. Chunguza mwenyewe.ikumbukwe Mimi Baba Morgan nia yangu sio kuhamasisha maandano ni kuhoji kwa nia njema kabisa na kupongeza vyombo vyetu vya ulinzi kwa kuweza kudhibiti maandamano na migomo isiyokuwa na tija kwa taifa na vilevile kuwaomba vyombo vyetu vya ulinzi kushare ujuzi walionao kwa mataifa yanayokabiriwa na maandamano Mara kwa mara
Tunashuhudia kwenye vyombo vya habari wananchi wa mataifa mengine walivyo wepesi kuchukua hatua hasa ya kuandamana pale panapotokea sintofahamu baina yao na serikali ili kushinikiza hatua flani zichukuliwe.
Nchi Kama Myanmar ambayo ina utawala wa kijeshi ilishindwa kudhibiti maandamano ya wananchi wake lakini kwa Tanzania vyombo vya ulinzi vimeweza kudhibiti hata mawazo ya kuandamana vichwani mwa raia wake haya ni mafanikio makubwa kwa IGP
Kwa upande mwingine yawezekana vyombo vya ulinzi havina uwezo huo tunaodhani bali uoga wa raia unafanya vyombo hivyo kupata sifa wazisostahili Aya Ni maoni tu.
Maandamano sio kitu chema madhara yaliyotokea South Africa wote tunayajua.
From northern part of Tanzania.
Na ikatoboa mbele ya field Marshall Idd Amin Nduli Dada.Kwa uoga huu halafu eti nasikiaga Tz ilishapigana vita yani hata huwa siamini nahisi ni chai tu....
Ina maama wapiganaji walikufa na vizazi vyao???
Hii itakua chai tu kama chai zinginge....Na ikatoboa mbele ya field Marshall Idd Amin Nduli Dada.
Njaa(hungry fire) inaweza pelekea ubongo kutofanya kazi proper.Media za kuhamasisha zote zimeegemea serikalini kuogopa kupigwa ban yani kiufupi kila mtu anatetea mkono wake uende kinywani
Lini na wapi hiyo ilitokea.?Sifa mama watz sio wagomvi wagomvi na ukimzingua anakupuuza au anakusubiria mahali kwenye mstari aliokuchorea kuwa huvuki hapo mpaka umjue yeye ni nani. Chunguza mwenyewe.