Recent content by isavin

  1. I

    CHADEMA ni waongo na wazushi, Chenge hahusiki kupiga risasi hewani

    mkuu acheni upuuzi wa kubisha Na kushabikia kila kitu, siku utalengwa wewe au ndugu yako ndo utaacha ushabiki.
  2. I

    Miti inauzwa

    Mkuu iko wapi, embu tupia na picha!
  3. I

    MMU LADIES: Si kila mwanamke ameumbwa kuolewa

    Really, a lady of kind, seems to be so talented and focused, take good care loveissweet.
  4. I

    Dr.Slaa live ITV akichambua hotuba ya Kikwete

    hivi kweli bado watu tunamawazo mgando hata kwenye hoja za kitaifa? Mnaingiza Tu ushabiki wa vyama?
  5. I

    Mwanamke bikra

    thread yako haitafsiriki mkuu, yeye ndo alikwambia ni bkra au kwa kuwa ilkuwa ni mara yako ya kwanza kukutana nae? au sauti yake wakati wa tendo ilkufanya useme bkra?
  6. I

    Nifanyaje nifaidi mapenzi nikiwa nae kitandani?

    kama speed yako ni ya kawaida, na unamuandaa vizuri,basi akachek inaezekana akawa na fungus ambao wamesha eka mchubuko tayar ambao unapelekea maumivu anapopata ukavu kidogo tu,, chekup ni muhimu zaidi
  7. I

    WANAUME: Epuka kumwoa Mwanamke kwakuwa ana Mimba yako!

    mkuu, umeongea ukweli mtupu, huna ushabiki wala unafiki.
  8. I

    Msafara wa Mkuu wa Wilaya Lushoto wang'oa bendera za CHADEMA

    pale mafinga diwani wa ccm kata ya boma alkuwa anajaribu kuzuia wana cdm kujenga eneo la kuweka bendera ya cdm, aliambulia kichapo kisicho cha kawaida.
  9. I

    Sugu aelezea sakata la ndege ya Rais wa China

    Ila kweli wee jamaa unafikiri kwa kutumia makalio, kila kitu wewe ni kupinga tu,
  10. I

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Mh. Mbowe Igunga 6/11/2014

    kaka bado wamowamo,si unajua kwenye msafara wa mamba na kenge wapo?
  11. I

    Yaliyojiri kwenye Mkutano wa Mh. Mbowe Igunga 6/11/2014

    hiyo ilkuwa zamani eddy, sio kwa watanzania wa kileo.
  12. I

    Huduma za Akiba Commercial Bank ni shida!

    mmhh! Hili linawezekana kweli?
  13. I

    MOU iliyosainiwa Tarehe 26 Oktoba 2014 ni Sanda ya Marehemu UKAWA baada ya kifo chake

    Dah, siku za mwisho kwa ccm ni chungu zaidi ya shubiri. Pengine bora ya hata na moto wa jehanamu kwao, R.I.P CCm.
  14. I

    Msanii Chidi Benz akamatwa na polisi Airport

    "umesamehewa, kwani hujui ulisemalo"
Back
Top Bottom