PetCash
JF-Expert Member
- Mar 20, 2012
- 1,996
- 2,017
Tatizo la wabongo hatuendelei kwa sababu mtu anaomba ushauri, we kwa sababu ni mzoefu badala umsaidie unaanza kumponda. Matokeo yake uzi mzima hakuna jibu ni masimango tu!
(Mleta uzi hata mimi sijui labda ukiendelea kuwa mvumilivu anaweza kuja mtu na busara zake akakujibu....Usilale we subiri tu)
(Mleta uzi hata mimi sijui labda ukiendelea kuwa mvumilivu anaweza kuja mtu na busara zake akakujibu....Usilale we subiri tu)