Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na 7 kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Ila ni muhimu wanafunzi hao kupata muda wa kupumzisha akili zao wkt wa likizo zao. Ila zipo shule binafsi zimejiwekea utaratibu kwa kuwapa rtb za mfululizo za watoto hawa,za...
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na 7 kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu.
Ila ni muhimu wanafunzi hao kupata muda wa kupumzisha akili zao wkt wa likizo zao. Ila zipo shule binafsi zimejiwekea utaratibu kwa kuwapa rtb za mfululizo za watoto hawa,za...
Tunatambua umuhimu wa wanafunzi wa darasa la 4 na darasa la 7 kusoma na kujiandaa kwa ajili ya mitihani yao ya kitaifa baadae mwaka huu. Lakini imekuwa ni kawaida kwa shule za binafsi kukiuka utaratibu wa mapumziko(likizo)pindi shule zinapofungwa kwa kulazimisha wanafunzi kupumzika Kwa wiki moja...
Acha kuwatetea chief. Kiuhalisia hali ni mbaya sana mitaani,gharama za maisha zipo juu sana. Uchumi wetu ungekuwa juu Hali isingekuwa hivi ilivyo chief
Hawa watu tunatakiwa kuwawajibisha!! Tuwaunge Chadema mkono tundamane nchi nzima kupinga huu ujinga. Wanatuona watoto sana hawa ccm. Tundamane hadi kieleweke watupatie umeme wa uhakika,gharama za maisha zishuke chini.
Hal
Halafu mjinga mmoja anasema uchumi umekuwa kwa kuangalia namba E kwenye magari barabarani,mara tukaishi Burundi. Ee Mungu ikupendeze kwa mtu huyu umuite kwako kwa ajili ya hukumu ya haki! Utuondolee Ee BWANA twakusihi kwa maana amejaa kiburi na dharau kwa watu wako. Amen.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.