Recent content by isalle lo njofu

  1. I

    Lissu is too shallow compared to Prof Kabudi

    Toa mifano hai kuezea hoja yako, sio unakuja na porojo nyepesi kiasi hiki. Tl asingekuwa mkali na tishio asingepigwa marisasi kiasi kile.
  2. I

    Makonda: Atakayenunua makontena yangu atalaaniwa yeye na kizazi chake! Atoa onyo kwa atakayethubutu kununua

    Juu in mchezo was kuigiza kutaka kushawishi wananzego kuwa hakuna aliye juu ya sheria. Hata awe bashite(mwana was pekee wa mkuu wa kaya) fix tupu!
  3. I

    Mwigulu Nchemba: Abdul Nondo alijiteka, alikuwa amejipulizia hadi Pafyum

    Na kweli ni ushamba kwani perfume nyingine ukipulizia leo, utapulizia tena miezi miwili ijayo; haihitaji kupulizia kila siku. Sasa mn amejuaje Nondo alipulizia perfyume siku ya kutekwa?
  4. I

    Huyu hafanani na Mwl. Julius Nyerere hata kidogo..!

    Mwl nyerere alijiamini na hakuona haja ya PhD feki!
  5. I

    Hivi hizi hasara watanzania mnazifurahia!!!!

    Huyo anaenunua mbona hajiamini kama alishinda 2015. Anataka kuua upinzani kwani ulimtoa jasho hadi kusaidiwà na goli LA mkono!
  6. I

    Dr. Lwaitama apewe uenyekiti CHADEMA na kugombea Urais 2020

    Mkuu unaonesha upeo wako mdogo wa kuchanganua mambo unaposema kuwa cdm wanaumwa ugonjwa was kuropoka na matusi.inapaswa ujue kuwa vyama vya upinzani vimekuwepo Si hiari ya chama tawala(CCM) na ili kuenda nao sambamba wapinzani wanatakiwa wawe nà lugha kali na ujasiri wa kutenda bila kuogopa...
  7. I

    Halmashauri chini ya CHADEMA zaongoza kwa rushwa

    Inahusiana sana! Jamaa anataka kuonesha upofu wako kwa ufisadi unaoedelea ujenzi wa standard gauge na kuona "ufisadi was CDM kwenye halmashauri ya Ar" Takukuru wamenyamaza kimya kuhusu madai ya srikali kutumia kodi za walalahoi kununua viongozi wa upinzani!
  8. I

    Mbunge wa Mbeya Joseph Mbilinyi "Sugu" na Emmanuel Masonga, Wahukumiwa kwenda jela miezi Mitano kwa kosa la Uchochezi

    "The reign of terror" Ukiona kiongozi anapita kwenye masigogi na kutaka aombewe ujue huyo kuna uovu anafichaficha. MTU mwadilifu atasubiri aombewe na Si kupress kuombewa. Neema ya Mungu haivutwi kiujanjaujanja Siku zote uadilifu utashinda ubaya. Mungu yupo!
  9. I

    Ushirikiano mpya kati ya Tanzania na Kenya ni pigo jingine kwa Upinzani

    Nimependa ulivyomjibu huyu myopic (mleta mada) kwamba matàmshi ya viongozi wetu wawili ni pigo kwa upinzani! Kwanza nimjulishe mleta mada nini kuwa kusema no kitu kimoja na kutekeleza ulichokisema ni kitu kingine. Lakin jambo lingine kuwa upinzani ulikuwa unasifia uimara wa katiba ya Kenya...
  10. I

    Kama Walimu wa Marekani wakiruhusiwa silaha na Tanzania pia Wanasiasa waruhusiwe

    Wazo zuri sana! Kwa vile RAIA yeyote was tz akitimiza vigezo ana haki ya kumiliki silaha basi nawashauri viongozi was upinzani wamiliki silaha kwa ajili ya kujilinda wenyewe. Kwa trend hii ya matukio ya mauwaji ya viongozi wa upinzani na wauwaji kuingia mitini. Na kama tumefikia huku Jamii ya Tz...
  11. I

    Dar: CHADEMA wazungumza na wanahabari kuhusu mauaji, barua ya Msajili na mahabusu wenye majeraha ya risasi

    Viongozi was upinzain warudishe haraka operation UKUTA kabla mambo hayajawa mabaya zaidi. " We have nothing to loose except our chain"
  12. I

    Arusha: Madiwani wawili wa CHADEMA Prosper Msofe na Obeid Meng’oriki, wajiuzulu na kujiunga CCM

    Hii move upinzani waipokee kwa mtazamo chanya,, wajipange kufanya kampeni za nguvu kuwaeleza wananchi madhambi yanayofanywa na serjkali hii ya awamu ya tano. Nasema ni fursa kwani sirikali ilipiga marufuku mikutano ya kisiasa na sasa hakutakuwa na kisingizio chochote; uwanja uko wazi kifanyà...
  13. I

    Serikali yasema itaangalia vitu vya msingi kwenye kugharamia bajeti ya mazishi ya Aqulina

    Gharama za mazishi ni ujanjaujanja wa sirikali kuwahadaa wananchi wazame kwenye kujadili gharama na kusahua mambo ya msingi kama RAIA kuuawa kizembezembe na kuminywa kwa demokrasia kwa kiwango cha juu! Tunapaswa kuangalia chimbuko LA watu kuuawà, kupigwa risasi, kutekwà na kuwekwa mahabusu kwa...
  14. I

    Serikali yasema itaangalia vitu vya msingi kwenye kugharamia bajeti ya mazishi ya Aqulina

    Sasa unakataa nini wakati umeandika aliyeua na alieandamana? Unaweza kututhibitishia alieuawa alikuwa anaandamana? Na katiba imasema anayeandamana auwawe?
Back
Top Bottom