Recent content by Isale Lya Chofu

  1. Isale Lya Chofu

    Baadhi ya Watanzania wanyonge maeneo mbalimbali wampigia magoti Paul Makonda kumuomba arejee mitaani kuendelea na ziara

    Nenda Dodoma ukapimwe afya ya akili. Kila siku unajaza mashudu humu.
  2. Isale Lya Chofu

    Lengai Ole Sabaya nyanyuka usaidiane na Makonda

    Mnaitafutia nchi yetu laana kuwaombea watu wakatili teuzi.
  3. Isale Lya Chofu

    PreGE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

    Aendeleze ule ufedhuli wa awamu ya 5. Hivi wewe unajua mpango wa Mungu na viumbe vyake? Endeleeni kumpangia Mungu matakwa yenu muone ghadhabu yake.
  4. Isale Lya Chofu

    Rais Samia achangia mamillioni ya pesa taasisi ya profesa Jay Foundation, atoa maagizo mazito kwa Wizara ya Afya na Muhimbili

    Huyu jamaa anaweza kusema mkojo wa kiongozi ni juice nzuri kwa afya bora. Pole kwa wazazi waliomzaa chawa huyu.
  5. Isale Lya Chofu

    Tundu Lissu: Makonda ni mhalifu mkubwa sana hapa Tanzania

    Huu Uzi balaa. Kuna watu wametoweka ghafla. Naona kama moderators wafanya yao.
  6. Isale Lya Chofu

    Wachambuzi karibuni hapa

    Jukwaa lina Wacha Mungu
  7. Isale Lya Chofu

    Namkataaje mwanaume nisiempenda?

    Duuuuh!!!! Lugha ya nchi gani?
Back
Top Bottom