Recent content by Isaiah59

  1. I

    Must read: Ufisadi na Uchafu wa kapt. John Komba kwa wapiga kura wake

    Wewe ndiwe mbaya wa Komba, na ndiwe uliyeshiriki kutengeneza picha chafu kumchafua. Hivi Komba ni mbunge wa kuteuliwa au anachaguliwa? kama nimuovu kiasi hicho kwa nini achaguliwe kila mara? Tafuta sababu nyingine nzuri na watu watakuelewa, hii nayo bado haitoshi. Pole komredi!
  2. I

    PICHA za Capt. Komba zenye utata zasambazwa kwenye mitandao ya kijamii!

    KUHUSU PICHA NA KOMBA Kwa analysis ya haraka, hizo ni picha za kutengenezwa kwa lengo hilo alilolikusudia mtenenezaji. Hata kama Mheshimiwa Komba anao washikaji wake, bado hii aibu aliyotengenezewa inamapungufu mengi kiasi cha kukosa sifa ya kuthibitishia umma kuwa ni kweli. Hizo ni picha...
  3. I

    Rwanda yamkataa Balozi wa Tanzania

    Acheni Uongo Wenu Nyie Habari zozote zinazohusu usalama ambazo zimeandikwa humu zote ni majungu tu. Hakuna habari zozote zenye ukweli zinaweza kuwekwa wazi humu. Kwanza kwa faida ya nani? ili nini kitokee? na kwa nini? Sikatai kwamba nchi na nchi hupishana au kutofautiana hilo siyo jambo la...
  4. I

    Hoja za Madiaspora hazina mashiko na haziuziki

    Maneno yako yanaonyesha umetumwa na miungu watu wanaodhani waliiumba TZ. "Eti kwa mipasho hii mtasubiri sana" nani alikwambia walio nje ya TZ wanashida sana ya kupata msaada wako wewe binafsi? kwani wewe ninani kati ya mamilioni wa TZ hata ueseme "eti kwa mipasho hiyo mtasubiri sana" Kusubiri...
  5. I

    Hoja za Madiaspora hazina mashiko na haziuziki

    Jitahidi Kuandika Kuhusu Hoja Unazozijua Vema Filosophia inasema "ukisikia vibaya utaelewa vibaya, na ukielewa vibaya utatenda vibaya" Ninani alikwambia wewe unauwezo wa kuwafanya watanzania waliopo nje ya nchi wategemee uwezo wako wa kuwafanya wawe na uraia pacha? Kama ni watanzania ni...
  6. I

    Uraia wa nchi mbili na Rasimu ya Katiba Mpya: Toa maoni yako

    Ingawa hujatoa sababu za msingi kwa nini umetoa sababu ulizozitoa kuupinga uraia wa nchi mbili, mimi nafikiri tukuachie hiyo nia yako mwenyewe. Pili, Tanzania haitakuwa nchi ya kwanza kuwa na uraia wa nchi mbili kwa sababu kuna nchi nyingi za kiafrika zilizo tutangulia, Kwa mfano; Nigeria...
  7. I

    Uraia wa nchi mbili na Rasimu ya Katiba Mpya: Toa maoni yako

    Naunga hoja kwa nguvu zote
  8. I

    Niko Njia Panda.... Ushauri wenu ni muhimu

    POLE DADA YANGU Walionitangulia wote kwa pamoja wametoa ushauri mzuri sana, nami naungana nao. Achana na huyo bwana haraka. Kuhusu vitisho ningeshauri utoe taarifa haraka Polisi na umfahamishe kuwa umesha report polisi kuhusu vitisho anavyokutolea. Hiyo itakufanya wewe uwe upande wa usalama...
  9. I

    Sisi wake zetu hawatongozwi??

    Majibu ni Mawili "2.Wanatongozwa wanakataa lakini Wanapuuzia kutuambia? 3.Wanatongozwa wanakubali na kuifanya iwe siri?"
  10. I

    Natangaza rasmi...

    Itisha waandishi wa habari ili tangazo lako liwafikie wengi!
  11. I

    Kama Slaa, Migiro, Salim, Lowassa, Shein hawafai kuwa Rais; nani atatufaa 2015?

    KWA NINI HAYO MAJINA NASI MENGINE? Mimi naona mtoa mada hii hujawatendea haki hawa waheshimiwa. Nadhani lengo lako ni zaidi ya kupata maoni ya wasomaji. Umeshatoa hukumu bila wao kujitetea, na hiyo si haki. Lazima sote kwa pamoja tujifunze kutenda haki.
  12. I

    Zitto kabwe na simulizi ya mpiga filimbi wa hamelin: Is it really for chadema or he’s undercover rec

    MSIUE SIASA: Kwani huyo Kabwe si ni kiongozi wenu jamani? kuna shida gani akihamasisha chama chenu? kwani chadema yenyewe iliwaumba hao wanachama wake? si walikuwepo tu, tena wengine hawakuwa na chama chochote na wengine walikuwa CCM kama huyo kiongozi si alikuwa mbunge wa CCM? kama hao watu...
  13. I

    Ufunuo: Hatari kubwa CHADEMA

    SIASA NA DINI: Mimi ni muumini pia na ninaamini Biblia kama wengine wafanyavyo, mbali ya hayo ni mwalimu mstaafu wa chuo cha theologia. Nina Masters ya theologia na nina Doctorate katika mambo ya serikali in general. Lakini siamini kuwa Mungu ana vyama vya siasa ila naamini kuwa ana watu ambao...
  14. I

    Uganda yaishutumu Hotuba ya Rais Jakaya Kikwete juu ya EAC

    TANZANIA NA TATIZO LA EAC: Kwanza nianze na shukrani kwa hotuba nzuri ya Mheshimiwa Rais Kikwete iliyoweka msimamo wa Tanzania juu ya EAC. Ili ufahamu kwamba kulikua na kuna jambo ambalo limefichika ambalo ndiyo sababu za kuitenga TZ, basi ni huo msituko wao baada ya TZ kutoa msimamo ambao...
  15. I

    Tubainishe mapungufu katika hotuba ya JK bungeni leo tarehe 07/11/2013

    HOTUBA YA RAIS BUNGENI: Kwa maoni yangu Rais alikuwa anaongea na Taifa lake analoliongoza. Alikuwa akijibu maswali ambayo watanzania wengi wamekua wakijiuliza kuna nini EAC? kwa maoni yangu sioni kama kuna uamuzi wowote umetolewa hapo, ila naona amesisitiza kuwa bado tupo hatujawahi kutoka na...
Back
Top Bottom