Kwa mkemia kufanya nn we mpumbavu tu, , hoja ipo ivi kama je amewah kuwatafuta ndgu zake huyo dada wakamkataa?? Au for the first time ndo anaibukia kwa Makonda
Mi najiuliza sana, inakuwaje gesi tunayo ya kutosha hapa nchini, tulijua ndo faraja kwa watz, matokeo yake bei zipo ghali sanaaa,, Cha kusikitisha kila siku Kujifanya hamtaki matumizi ya mkaa kwa sababu ya kuharibu miti... Je vita itafanikiwa kweli?? Au wananchi wale vyakula vibichi?? Miti...
1.Naanza na Rais mstaafu Benjamin Mkapa nijuavyo mimi huyu mheshimiwa ni mtu katili, aliekuwa na msimamo, nae hakupenda ushauri, analoamua lisipingwe ila alikuwa ana upeo ndo maana nchi aliiweka vizuri, misimamo yake na kutopenda ushauri havikuweza kuwa kikwazo kwa nchi.
2.Rais Mstaafu Jakaya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.