Habari wanaJF,
Naombeni kama kuna anayefahamu jinsi ya kutengeneza "Facebook & Instagram ads" kwa kutumia smartphone, na endapo zikafanya kazi kwa ufasaha nitaomba anitafute kwa kunipa elimu juu ya hili. Nitamlipa kidogo maana elimu ina gharama.
Namba: 0683484606
Jamani naombeni msaada nashangaa kwamba kifua changu kushoto ni kiKubwa cha kushangaza cjawai kunyanyua chuma pia upande huohuo nasikia maumivu kwa ndani hadi mgongoni mimi na miaka 18
Mimi ni kijana miaka 18 .ninasumbuliwa na tatizo la maumivu ya kifua upandewa kushoto ,pamoja na mgongoni upande wa juu kushoto.
Maumivu hayo huwa kama vile mtu anafinyavl au some time kama kitu kikali kinachoma kwa ndani kinacho nishangaza kwamba maumivu haya huja na kupotea kunakipindi...
dk mimi ni mpigaji wa punyeto nina miaka miwili na nusu, ninachotaka kujua mm ni kwamba je ninaweza kuwa nimepata madhara yoyote makubwa kamaniki amua kuacha kwa muda hiu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.