Kwa nn watu mnahamasisha kuuwawa kwa Lisu jenga hoja dhidi ya hoja yake na pia haujamuelewa Lisu matumizi ya dola enzi ya Ukoloni kwenye miundombinu na sasa itofautiane kwa sasa maendeleo ya watu yaambatane na miundombinu sio kufukarisha watu kisingizio kiwe ni ujenzi wa miundombinu
Nyanda we ni shoga mbona unasema wanaandamana kudai haki za kijamii kama ushoga hivyo unataka watu waandamane kudai ushoga uhalalishwe Tanzania na we utakuwa kiongozi wao?
Huyu jamaa ni matako kweli kuna siku wananchi waliwahi taka vita ama umasikini? Utahila wako unataka watu wajibu unachowaza wewe
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku ya tarehe 10-04-2018 yalifanyika maandamano ya kushinikiza mageuzi ya mfumo na uongozi nchini Ethiopia baada ya miezi michache tangu uchaguzi ufanyike ambapo mtawala yule alishinda kwa asilimia zaidi ya 80% sasa sijui yeye hakuwa amekaa kwenye mioyo ya watu kama jiwe
Sent using Jamii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.