johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,939
- 141,914
Kiukweli nguvu ya Umma siyo mchezo na sina uhakika kama hii ndio Peoples power iliyokuwa inahubiriwa na Chadema.
Nimeshuhudia:
Mosi polisi wanaipigia goti nguvu ya Umma kuomba suluhu
Pili, Wahudumu wa afya wanaipigia goti nguvu ya Umma kukubaliana nayo.
Tatu, Wanasiasa wanaipigia goti nguvu ya Umma kuomba poo
Nne, Papa wa Katoliki anamuomba Mungu baba aingilie kati nguvu ya Umma isilete madhara zaidi.
Pamoja na kwamba kule ni America lakini nimejifunza kitu.
Mungu awabariki
Maendeleo hayana vyama!
Nimeshuhudia:
Mosi polisi wanaipigia goti nguvu ya Umma kuomba suluhu
Pili, Wahudumu wa afya wanaipigia goti nguvu ya Umma kukubaliana nayo.
Tatu, Wanasiasa wanaipigia goti nguvu ya Umma kuomba poo
Nne, Papa wa Katoliki anamuomba Mungu baba aingilie kati nguvu ya Umma isilete madhara zaidi.
Pamoja na kwamba kule ni America lakini nimejifunza kitu.
Mungu awabariki
Maendeleo hayana vyama!