Recent content by Isaac Mnyagi

  1. Isaac Mnyagi

    Tetesi: Marekani na Ulaya hazitautambua Uchaguzi Mkuu 2025 ikiwa CHADEMA haitashiriki!!

    Tunachagua Rais wa JMT na SMZ kwa hiyo wasituchoshe na kiherehere cha mambo ya nchi yetu wakae mbali na sisi maana wamezidi sana. OCTOBER 2025 TUNASIMAMA NA MAMA DR. SAMIA SULUHU HASSAN TUNATIKI ZOTE✅✅✅🇹🇿
  2. Isaac Mnyagi

    Kaliua, Tabora: Suala la Mwalimu Johari Jumanne aliyedaiwa kupigwa na Mwalimu Mkuu kwa kuchelewa Shule lachukua sura Mpya

    Kama ni Johari ninayemfahamu niliwahi kukutana naye kata ya Usinge na rafiki yake Mwalimu Mponda walikuwa kama mapacha ingawa Johari siku zote ni mpole na mcheshi kama ni yeye sidhani kama amehusika na kwa kuwa chanzo cha vurugu labda kama ni mwingine.
  3. Isaac Mnyagi

    Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

    Am Alikuwa na nyota njema sana na angeweza hata kuwa waziri kamili ila hajui siasa na alikuwa anazungukwa na wanafiki wa masilahi ya fedha zake tu na wakampoteza na mzee kashtuliwa mapema
  4. Isaac Mnyagi

    Ikulu, Chamwino: Rais Magufuli ateua Baraza la Mawaziri lenye Wizara 23. Aunda Wizara mpya ya Mawasiliano na Teknolojia ya Habari

    Hivi Adolf Mkenda ni kabila gani vile!? Maana nijuavyo mimi ni mchaga sasa sijui mashemeji zangu mnakwama wapi
  5. Isaac Mnyagi

    GE2020 Zanzibar: Askari wanaolinda usalama wa watu na mali zao, washambuliwa kwa Mawe!

    Endeleeni kuwajaza ujinga mkiamini mtaweza kushindana na hili dola kubwa
  6. Isaac Mnyagi

    Usinge, Kaliua: Majambazi yavamia na kuua mtu mmoja

    Usinge pamekaa chocho moja mbaya mno ingawa ina biashara mno ila pameingia ndani
  7. Isaac Mnyagi

    Hizi gari za Waziri Mkuu 50 kwa 6b. Hatujapigwa kweli?

    Mara nyingi ni aina ya shukrani kwa baadhi ya makabila ya maeneo ya watu wa nyanda za juu kusini namaanisha kwa sisi Wanyiha mama anaweza kushukuru kwa kupiga magoti na hata kugaragara chini. sijajua kwa makabila mengine au kama kuna mwenye ufafanuzi zaidi ya huo tuelimishane
  8. Isaac Mnyagi

    Wakongwe Forum

    Duh tumejikausha kama hatupo vile
  9. Isaac Mnyagi

    Serikali ya Tanzania isitangaze case za Corona virus hata kama zikipatikana

    Ngoja waje washabiki wa Marekani na vibaraka watakavyokushambulia wakati huu uliousema ndiyo ukweli
  10. Isaac Mnyagi

    Mtandao wa vodacom unayumba. Wateja wengi walalamika kukatwa salio bila sababu

    Mimi nilikuwa mteja wa Red nilishachoka kuibiwa nikahamia Airtel Voda nimebakiwa nao kwenye Mpesa basis
  11. Isaac Mnyagi

    Ukweli kuhusu mmiliki wa Yerusalemu

    Ndugu yangu umeongea fact za wazi kabisa na point yako inaeleweka kwa wanaosoma vizuri biblia bila unazi wa kidini ila naona kasoro yako hapo unatumia lugha ghali Kali zinazowanyima wazembe kudadavua ila utawapata wanaotaka kujibizana na wewe
  12. Isaac Mnyagi

    Tukio gani linakufanya uamini kuwa Mungu yupo?

    Kwa upande wangu sidhani kama ninaweza kuelezea kwa ufasaha kwa miujiza na maajabu ambayo Mungu amewahi kuniokoa na kuniepusha. Mungu yupo jamani hata katikati ya Giza Nene.
  13. Isaac Mnyagi

    Kutoka JamiiForums: Salaam za kuuaga mwaka 2017 na kuukaribisha mwaka 2018

    Mkuu hata tukiwa kimya tuko pamoja na wewe kwenye maombi yetu kwa ajili ya kuelimisha jamii
  14. Isaac Mnyagi

    Bomoabomoa mpya Dar yaja: Nyumba 1,200 kubomolewa

    Tango Bravo Charlie on duty for status report
Back
Top Bottom