Recent content by Irshad Kusaka

  1. Irshad Kusaka

    Natafuta kazi ya Udereva. Nina experience nzuri ya kufanya kazi na makampuni makubwa

    Asante nashkuru kwa ushauri. Kwenye kutafuta tunatafuta kote kote patakapo wezekana itakua heri
  2. Irshad Kusaka

    Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

    Hawaezi vunja amani. Kazi ya chama pinzani ni kukosoa serikali kuu na kurekebisha mapungufu. Ndio maana vikaanzishwa na kupitishwa kisheria. Kama unazuia chama pinzani maana yake hujiamini au maana yake kuna mabaya mengi nyuma ya pazia hutaki wananchi wajue.
  3. Irshad Kusaka

    Natafuta kazi ya Udereva. Nina experience nzuri ya kufanya kazi na makampuni makubwa

    Naitwa Irshadi Kusaka mimi ni mkazi wa Dar es Salaam. Natafuta kazi ya udereva kufanya kwenye kampuni yoyote au mtu binafsi. Nimefanya kazi hii na kampuni ya group six, emirates na nyengine nyingi. Kwa kirefu zaidi nime elezea kupitia CV yangu ipo hapo chini kwenye link Irshad Kusaka - Luis...
  4. Irshad Kusaka

    Freeman Mbowe: CHADEMA kufanya Mikutano Nchi nzima kuanzia Mwezi wa nne. Bado tunahitaji kujua waliomuua Aquilina

    Hawa watu wangeachiwa tu wafanye mambo yao kwa uhuru mbona CCM imefanya mengi yameonekana. Kwahili la kuwaingilia hawa naona tu nikujiaribia sifa yao kwa wananchi.
  5. Irshad Kusaka

    Naomba Ushauri: Eneo la Makumbusho linafaa kwa biashara gani?

    cha msingi watu kama kuna watu biashara itafanyika tu
  6. Irshad Kusaka

    Hivi Rais analindwa na vikosi vingapi vya askari?

    Imekaa vizuri rais lazima awe na ulinzi wa maana
Back
Top Bottom