Hawaezi vunja amani. Kazi ya chama pinzani ni kukosoa serikali kuu na kurekebisha mapungufu. Ndio maana vikaanzishwa na kupitishwa kisheria. Kama unazuia chama pinzani maana yake hujiamini au maana yake kuna mabaya mengi nyuma ya pazia hutaki wananchi wajue.
Naitwa Irshadi Kusaka mimi ni mkazi wa Dar es Salaam. Natafuta kazi ya udereva kufanya kwenye kampuni yoyote au mtu binafsi. Nimefanya kazi hii na kampuni ya group six, emirates na nyengine nyingi.
Kwa kirefu zaidi nime elezea kupitia CV yangu ipo hapo chini kwenye link
Irshad Kusaka - Luis...
Hawa watu wangeachiwa tu wafanye mambo yao kwa uhuru mbona CCM imefanya mengi yameonekana. Kwahili la kuwaingilia hawa naona tu nikujiaribia sifa yao kwa wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.