Wakuu nahitaji mtaalam wa IT , kuna kazi hapa ya online business
Sifa zake....
1.awe na laptop yake
2.awe mtanzania wa mkoa wowote
3.asiwe na kazi nyingne na
4.umri kuanzia miaka 20 hadi 28
Mshahara..,...50% ya mapato ..
Njoo PM kama upo tayari....
Au email ...irenebby8@gmail.com
Watanzania wanahitaji nguvu kubwa Sana kuwashawishi, walio wengi huwa wanapinga hata wasichokijua watajifanya wajuaji,,,,,, YouTube inalipa Sana ukiwa na nia Kwa mwezi hukosi hata $150 -200
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.