Recent content by Iramba Junior

  1. I

    CHADEMA mmejipiga chenga wenyewe jimbo la Sikonge Kwa kumteua Said Nkumba

    Siyo Sikonge tu, vp kuhusu Bunda Mjini Ester Bulaya, Nasikia hata Segerea kuna mpango wa kumweka Mokongoro, je wale waliotia nia na kukijenga chama watajisikiaje? Mm naamii ushindi ni ushirikiaono support kwa ngazi za chini. Sitaki kuamini kwamba CC ya CDM wamejipiga chenga.
  2. I

    Jamani kama Intellectuals hebu tuweke ushabiki pembeni, tujadili haya madai ya madereva wetu

    Nduu yangu inoneana uelaewa wako ni mdogo sn. Nakuhurumi sana. Embu tukumbushe nini kuliua hayo MAUDA?
  3. I

    Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

    You sounds kuwa na hasira ...
  4. I

    Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

    As matter of fact Kama wewe si Mtweve ... Kamuulize Mtweve how many times when in villages ameulizwa where is Mbongela ... The candidate? ... These are some of the signs to show how Mbogela is accepted... Km unataka kuwa mtu mwema just accept the fact siyo porojo tu
  5. I

    Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

    Ngugu yangu kwa jinsi unavyoandika na kujibu hii thread naomba niungane na one of the members in this thread who said wewe ndiye unajipigia promo and its obvious unataka Ubunge kwa kila Hali...
  6. I

    Makete kuangukia mikononi mwa CHADEMA

    Ndugu yangu nikuunge mkono Mbogela ni kijana anayekubalika hata kwa CCM na wanna nchi wa kawaida. Namfahamu toka tuko SUA Kabla ya kufanya Kazi na iliyokuwa taasisi ya masuala ya HIV/AIDS there in Makete. In case if CDM will take another candidate apart from Mbogela CDM will loose that jimbo...
  7. I

    Daudi Mwakawago afariki Dunia

    Nafikiri mtu huyu alishafariki ...
  8. I

    Kura Bunge la Katiba udangayifu mkubwa umeandaliwa kura za nje ya ukumbi

    Ndugu zangu nimeshtuka sana, suppose nafungua email kama Tundu Lissu then natuma, je kuna verification gani hapo kama mm ni Tundu Lissu original? Nimemsika Mkiti Sita kisema kura zote zitasomwa bungeni kabla ya kutangaza matokeo
  9. I

    Picha: Yaliyojiri Kigoma katika mazishi ya Shida Salum (Mama yake Zitto)

    Je umecheki na Wenje, Halima Mdee, Lucy Owenya etc kama wametumwa na chama kama wawakilishi? Mimi nazani msiba unapotokea huwa hauna taarifa na inawezekana unaowasema wakawa tayari walikuwa na majukumu mengine! Try to be positive just a litle bit.
  10. I

    Nape: CCM bado ina imani na tume ya katiba nchini

    This is the best comment on the thread!!!
  11. I

    Live on ITV - UZALENDO: Dr Slaa vs Mangula

    Ndugu yangu kwanza naomba nikupongeze kwa kuwa na binti ambaye anauelewa mkubwa kiasi hicho regardless her age, ni kweli kabisa kwa wale ambao mmetazama hiki kipindi mzee Mangula kapwaya, hana hoja, hajui anaongea nn, anaogopa, full uncomftable, big shame, eti wao hilo ndilo jembe! Nirudi kwnye...
  12. I

    hivi mbowe anajua kiingereza?

    Ndugu yangu kingereza siyo ishu, kuna viongozi wakubwa tu serikalini wakiwavwanaongea unatamani ujifiche lakini ndiyo viongozi wetu
  13. I

    Kagasheki: OBC haimiliki ardhi Loliondo! Amwambia Msigwa 'kaja bungeni jana'

    Ndugu zangu kwa kweli Kama wewe ni ccm ni aibu Kubwa kusikiliza jinsi Waziri anavyojibu utatamani kulia!Aibu Kubwa ndugu zangu
  14. I

    Kesi ya Uchaguzi Jimbo la Sumbawanga Mjini - Jumatatu tarehe 6 Mei

    Ndugu yangu hujaeleweka nini hasa unataka kusema? Nadhani ni vzr ukafunguka vzr. Wanajamvi, naomba niulize suala la kuboresha daftari la mpiga kura vp? Next year tunaingia uchaguzi wa serilkali za mitaa? Sorry for mixing up two different issues
Back
Top Bottom