Singwa
Member
- May 26, 2011
- 65
- 25
- Thread starter
- #21
sawa mtweve,,,muda uliotumia kureplay inaonyesha,we ndo mtweve
Kwamba kwa kujibu haraka inaleta tafsiri ya kuwa mimi ni Ahadi Mtweve mwenyewe basi vigezo hivyo hata darasa la saba hawezi kuvitumia.
Zilipotolewa tuhuma Ahadi kuhusu kazi yake ya awali Lindi na Mtwara mimi nimempigia yeye na akanipa namba za baadhi ya waliokuwa wafanyakazi wenzake pale Lindi na Mtwara.
Labda kama kuna hoja nyingine nje ya hii sawa!