Basi semeni Wana uhusiano na chadema.sisi hatujui Chochote nyie ndo mtuambie kama hao wahabesh walikuwa na ziara ya kichama au waliomba lift.mmiliki WA hiyo gari NI Nani NK.wajibu wetu sote NI kuilinda Tanzania dhidi ya wavamizi.
Cha MSINGI kuwe na ndoa halali.hili lazima liingie Bunge la bajeti lijalo.shauli yenu wazee wa KATAA NDOA.watu wanaenda kulamba shavu.wananchi wanasikilizwa sana SASA HV na Keri zinatatuliwa.
Huwa napata shida sana.unajua unapoitwa mheshimiwa lazima UWE na sifa hizo.hii nchi kuna vitu huwa nafikiria kuhusu baadhi ya viongozi Nabaki kucheka tu.bad inafu kuna migraduate haina KAZI imekaa kwa wazazi wao wastaafu inawanyonya tu,inasifia ujinga Tu.
Hoja hujibiwa kwa hoja.yy kasema mnalipwa MILIONI 18 kwa SASA.tuambieni nyie mnaliwa sh NGAPI au NI IPI kauli rasmi kuhusu Hilo la mbowe?kama kadanganya c achukuliwe hatua madhubuti?
Yaani serikali inakopa bilioni 126?hizi mbona hapa Ndani zinapatikana Kila cku na zinapotea hovyo.mkpo bil 126 halafu utajashangaa tunalipa bilion 50.kukopesha NI MOJA ya njia hatari ya kuendelea kumyonya muafrika.ni Mkakati mkubwa WA nchi za magaribi.mikopo inakopwa leo wanakuja kulipa wajukuu...
WAPELEKENI WATOTO FEZA,TANGANYIKA, MKALIPE MILIONI KUMI NA USHEE KILA MWAKA.UONE KAMA UTALALAMIKA MWANAO ANACHAPWA.HATA UKITAKA AWE ANAKUJA KUFUNDISHIWA NYUMBANI WANAKUJA.HUKO KWENU WANAKALIA MATOFALI DARASANI BADO MNAMLAUMU.TANGULINI FIMBO IKAUA?BIBILIA YENYEWE INASEMA USIMNYIME MWANAO KIBOKO.
Sawa.tuwe Makini sana wanaume.tukumbuke kilichowakuta Adam na Samson.adam akabaki analaum Tu baada ya kuulizwa swali na Mungu,Adam umefanya nn?,SI NI HUYU MWANAMKE ULIYENILETEA KAMA MSAIDIZI!
Zile ofisi za chama chetu zilizosambaa nchi nzima tulijenga kwa ruzuku au mchango WA wananchi wakati chama kimeshika hatam?naomba kujua.alafu naomba kuuliza HV viwanja vya mpira vya nchi hii NI Mali ya chama chetu au NI Mali ya wananchi?majibu tafadhali mheshimiwaaa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.