Huu wizi kwa kweli hatupo tayari kuona tunaibiwa. Kuna siku niliongea na hawa Wakala wa Vipimo, wakaniambia kuwa wataingia kwenye mitandao ya simu ili kukomesha uwizi huo. Kama inawezekana kushitaki, basi mimi naona ni vema tukakusanya ushahidi na kupeleka kwenye vyombo vya sheria.
Niambieni wapendwa. Mimi sielewi ni namna gani haya makampuni ya simu yanavyotukata pesa zetu. Ni mara nyingi nimekuwa najiunga na kifurushi cha sh.3,000/ ili niweze kutumia kwenye internet na airtel. Cha ajabu, ninapotaka kuanza kutumia internet, huwa niaambiwa salio langu halitoshi. Nikaweka...
Hili suala si la Vodacom tu. Ni nchi yote imeoza. Serikali haifanyi kiti chochote cha maana katika hili. Tulishakosa imani na serikali yetu. Watu mtalizungumzia lakini hakuna mabadiliko yoyote. Wizara ya Mambo ya Ndani, Wizara ya Kazi sioni wanachokifanya katika hili. Wenzetu wageni hawana...
Wanapokanusha, wanatakiwa waje na data za kutosha ili Wananchi waelewe na kuamini kile wanachokisema. Kukanusha bila vielelezo, haingii akilini. Waliotoa taarifa hizi walitoa na vielelezo na Wananchi ikawingia akilini. Tunataka "PROOF" ya hayo wanayoyasema. Tunahitaji Wanachi wote tujenga nchi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.