Ukiwa na Dola 12,000/= Unaweza kuanzisha radio yako. nunua vifaa hivi mapema.

Logo

JF-Expert Member
Jan 26, 2011
588
48
Wadau mlio na ndoto za kuanzisha radio wakati umefika ni dola 12,000/= za marekani utaweza kupata vifaa vyote vya studio na transmitter yenye walts 300 na antena yake unagonja nini wahi bidhaa hizi ni chahce.

PM
 
Wadau mlio na ndoto za kuanzisha radio wakati umefika ni dola 12,000/= za marekani utaweza kupata vifaa vyote vya studio na transmitter yenye walts 300 na antena yake unagonja nini wahi bidhaa hizi ni chahce.

PM

Mwenzio Radio Producer mbona alituambia dola 11,000?

Tumeshaweka order kwake. Jaribu siku ingine?
 
Naona jukwaa hili mhhh matangazo tena? Au umewalemga wanasiasa kwa ajili ya kampeni 2015..
 
Wadau mlio na ndoto za kuanzisha radio wakati umefika ni dola 12,000/= za marekani utaweza kupata vifaa vyote vya studio na transmitter yenye walts 300 na antena yake unagonja nini wahi bidhaa hizi ni chahce.

PM

Analogue au Digital? maana yake huko Tuendako hakutakuwa na Analogue... So Please Mkuu Usijeingiza watu Mkenge kama ni Analogue
 
Mambo ya biashara huria haya , sawa leta habari kamili maana nina ndoto ya kuanzisha Redio Ghetto Fm
 
Transmitter ya watts 300 mbona ni ndogo sana? Nilikuwa namfundisha mwanangu projects mbalimbali za electronics tukajenga FM tramsimitter ya kW1 ambayo ilituletea matatizo ya kisheria kwa sababu hatukuwa na license ya frequency tuliyotumia ingawa hatukuingiliana na station yoyote hapa mjini (mungu bariki). Tuliliipa faini na kuacha project ile kuaniza hapo; ukitaka wasiliana nami nitakupa design circuits utengeneze FM transmitter yako ya 1 kW kwa chini ya dola 200. Itabidi unisubiri muda kidogo nikuchambulie kwa vile nina circuits nyingi sana katika formats mbalimbali.
 
Tupeni hizo contact zenu ili nasi tujumuike. Tupatieni hizo circuits.

:yawn::yawn::yawn::yawn::yawn:
 
Transmitter ya watts 300 mbona ni ndogo sana? Nilikuwa namfundisha mwanangu projects mbalimbali za electronics tukajenga FM tramsimitter ya kW1 ambayo ilituletea matatizo ya kisheria kwa sababu hatukuwa na license ya frequency tuliyotumia ingawa hatukuingiliana na station yoyote hapa mjini (mungu bariki). Tuliliipa faini na kuacha project ile kuaniza hapo; ukitaka wasiliana nami nitakupa design circuits utengeneze FM transmitter yako ya 1 kW kwa chini ya dola 200. Itabidi unisubiri muda kidogo nikuchambulie kwa vile nina circuits nyingi sana katika formats mbalimbali.
tupe hayo madini nna hid nayo......
 
wadau mlio na ndoto za kuanzisha radio wakati umefika ni dola 12,000/= za marekani utaweza kupata vifaa vyote vya studio na transmitter yenye walts 300 na antena yake unagonja nini wahi bidhaa hizi ni chahce.

Pm

halafu mtangazaji wewe, operato wewe, mfunga mitambo wewe, mwandishi wa habari wewe na mengine mengi wewe!!!! Suala sio kununua hivyo vifaa, ni kuviendesha, kulipia airtime kwa tcra na kuwalipa wafanya kazi wako. Hapo ndo shughuli.

Halafu wacha kudogoisha mambo, usitake kutuaminisha wenye redio ni maskini wenzetu kwa kutuandikia 12,000 us dollar, kwani hizo dollar ni sawa ni 19,800,000 hela ambayo ni peshen ya watumishi wa umma wanaostaafu na vyeo vya kawaida
 
Transmitter ya watts 300 mbona ni ndogo sana? Nilikuwa namfundisha mwanangu projects mbalimbali za electronics tukajenga FM tramsimitter ya kW1 ambayo ilituletea matatizo ya kisheria kwa sababu hatukuwa na license ya frequency tuliyotumia ingawa hatukuingiliana na station yoyote hapa mjini (mungu bariki). Tuliliipa faini na kuacha project ile kuaniza hapo; ukitaka wasiliana nami nitakupa design circuits utengeneze FM transmitter yako ya 1 kW kwa chini ya dola 200. Itabidi unisubiri muda kidogo nikuchambulie kwa vile nina circuits nyingi sana katika formats mbalimbali.

mkuu naomba circuit za invetor na amprifier
 
Wadau mlio na ndoto za kuanzisha radio wakati umefika ni dola 12,000/= za marekani utaweza kupata vifaa vyote vya studio na transmitter yenye walts 300 na antena yake unagonja nini wahi bidhaa hizi ni chahce.

PM

Mkuu hiyo Radio Transmitter matangazo yake yanaweza kwenda kilometer ngapi mjini/nje ya mjini na hiko katika mfumo gani: FM/AM.
 
Transmitter ya watts 300 mbona ni ndogo sana? Nilikuwa namfundisha mwanangu projects mbalimbali za electronics tukajenga FM tramsimitter ya kW1 ambayo ilituletea matatizo ya kisheria kwa sababu hatukuwa na license ya frequency tuliyotumia ingawa hatukuingiliana na station yoyote hapa mjini (mungu bariki). Tuliliipa faini na kuacha project ile kuaniza hapo; ukitaka wasiliana nami nitakupa design circuits utengeneze FM transmitter yako ya 1 kW kwa chini ya dola 200. Itabidi unisubiri muda kidogo nikuchambulie kwa vile nina circuits nyingi sana katika formats mbalimbali.
Habari,
Japo ni muda mrefu sasa toka ulipopost hii comment yako kaka.. Nahitaji designs za stable, quality na long range fm transmitter ya 1kW please.
Ahsante.
 
Habari,
Japo ni muda mrefu sasa toka ulipopost hii comment yako kaka.. Nahitaji designs za stable, quality na long range fm transmitter ya 1kW please.
Ahsante.
Mpigie huyu 0766102710 mwambie namba umepewa na kuhani mweleze shida yako
 
Back
Top Bottom