Gharama za simu za mikononi

IPONJOLA

Member
Jan 27, 2012
5
0
Niambieni wapendwa. Mimi sielewi ni namna gani haya makampuni ya simu yanavyotukata pesa zetu. Ni mara nyingi nimekuwa najiunga na kifurushi cha sh.3,000/ ili niweze kutumia kwenye internet na airtel. Cha ajabu, ninapotaka kuanza kutumia internet, huwa niaambiwa salio langu halitoshi. Nikaweka tena kiasi hicho hicho, napo niliambiwa kuwa hakitoshi. Nikaweka mpaka mara ya saba, pia majibu yakawa ni yale yale. Nikapiga simu kwa kutumial line hiyo hiyo iliyokuwa kwenye moderm, simu haikupokelewa licha ya kuambiwa kuwa mimi ni mteja muhimu. Nilendelea kupiga mpaka mara tano, hali ilikuwa ni ile ile. Pesa yangu sijui imepotea? Kampuni hii ni Airtel - Hakatwi Mtu

Hilo Wana JF, ni moja. La pili ni hili. nilijiunga na kifurushi cha Supacheka. Salio langu katika simu yangu lilikuwa ni sh. 45,000/-. Nikajiunga na kifurushi cha sh. 15,000/-. Hii ilikuwa kwenye tarehe za kati ya 16 au 17 mwezi wa nane, 2013. Nikawa na mategemeo kuwa mpaka mwisho wa mwezi wa nane, ningebakiwa na salio katika simu na kwamba salio la kifurushi litakapokwisha, nitapata ujumbe wa muda wa kifurushi kuisha. Cha ajabu ni kwamba, tarehe 31/8/2013, nilipata ujumbe kuniarifu kuwa muda wangu wa kifurushi umekwisha. Nilipoangalia salio, nikakuta hata akiba yangu yote haikuwepo tena.

Wana JF, naomba kueleweshwa, hivi niliibiwa au ndo mtindo wa sasa?
 
Niambieni wapendwa. Mimi sielewi ni namna gani haya makampuni ya simu yanavyotukata pesa zetu. Ni mara nyingi nimekuwa najiunga na kifurushi cha sh.3,000/ ili niweze kutumia kwenye internet na airtel. Cha ajabu, ninapotaka kuanza kutumia internet, huwa niaambiwa salio langu halitoshi. Nikaweka tena kiasi hicho hicho, napo niliambiwa kuwa hakitoshi. Nikaweka mpaka mara ya saba, pia majibu yakawa ni yale yale. Nikapiga simu kwa kutumial line hiyo hiyo iliyokuwa kwenye moderm, simu haikupokelewa licha ya kuambiwa kuwa mimi ni mteja muhimu. Nilendelea kupiga mpaka mara tano, hali ilikuwa ni ile ile. Pesa yangu sijui imepotea? Kampuni hii ni Airtel - Hakatwi Mtu

Hilo Wana JF, ni moja. La pili ni hili. nilijiunga na kifurushi cha Supacheka. Salio langu katika simu yangu lilikuwa ni sh. 45,000/-. Nikajiunga na kifurushi cha sh. 15,000/-. Hii ilikuwa kwenye tarehe za kati ya 16 au 17 mwezi wa nane, 2013. Nikawa na mategemeo kuwa mpaka mwisho wa mwezi wa nane, ningebakiwa na salio katika simu na kwamba salio la kifurushi litakapokwisha, nitapata ujumbe wa muda wa kifurushi kuisha. Cha ajabu ni kwamba, tarehe 31/8/2013, nilipata ujumbe kuniarifu kuwa muda wangu wa kifurushi umekwisha. Nilipoangalia salio, nikakuta hata akiba yangu yote haikuwepo tena.

Wana JF, naomba kueleweshwa, hivi niliibiwa au ndo mtindo wa sasa?

Hawa jamaa wameamua kujichotea tuu malalamiko haya hapo kwa wengi siyo hivyo tuu mimi ni mteja wa VODA COm nimekuwa na tabia ya kununua kifurushi ama cha siku ama cha wiki, lakini cha ajabu ukijiunga tu utatumia kile kifurushi lakini wakakapo kimaliza watakwambia huna salio la kutosha, ukiangalia salio lako utakuta limerambwa lote. sasa sijui ndo wenzetu wameamua kuchangia ugumu wetu wa maisha kwa namna hiyo ama ndiyo kujitajirisha kwenyewe. kwa kweli huu ni ujambazi. ninaponunua kifurushi nakuwa nimeingia mkataba ambao unatakiwa uheshimiwe sidhanii kuwa ni haki kuhamishia matumizi ya simu kwenye eneo ambalo hatuingia mkaba nalo labda baada ya kuambiwa. mi naona wale wenye matatizo ya namna hiyo wote tukusanye ushahidi ili twende kwenye vyombo vya sheria haya makampuni mbona yatatulipa fidia vizuri sana.!! nawasilisha
 
Huu wizi kwa kweli hatupo tayari kuona tunaibiwa. Kuna siku niliongea na hawa Wakala wa Vipimo, wakaniambia kuwa wataingia kwenye mitandao ya simu ili kukomesha uwizi huo. Kama inawezekana kushitaki, basi mimi naona ni vema tukakusanya ushahidi na kupeleka kwenye vyombo vya sheria.
 
Kutokana na wizi wanamnahio, huwa naweka salio linalo tosheleza matumizi yangu,iwe kwa siku au wiki na simu kubaki ikisoma 00.

Airtel tu, ndiyo ilinishinda kuacha 00, hata hivyo huwa naacha 500 cha ajabu nayenyewe hukatwa kama 200 pasipo kutambuwa!!!.

Ila tutafika tu japo kwa kujikongoja.
 
Kutokana na wizi wanamnahio, huwa naweka salio linalo tosheleza matumizi yangu,iwe kwa siku au wiki na simu kubaki ikisoma 00.

Airtel tu, ndiyo ilinishinda kuacha 00, hata hivyo huwa naacha 500 cha ajabu nayenyewe hukatwa kama 200 pasipo kutambuwa!!!.

Ila tutafika tu japo kwa kujikongoja.

Kama alivyosema mkuu Home First ndivyo mimi huwa nafanyaga kwa voda. Naweka kiwango toshelezi kwa wiki nzima kisha nabakiza salio 00 kabisa. Kuna ukataji wa hela wa kijinga sana sana mitandao yote tu.
Hakuna hata moja wenye afadhali. Voda nahisi ni kama wamepitiliza. Cha msingi ni kununua weekly bundle tu. La sivyo tutakua tunalia daily
 
Last edited by a moderator:
jamani wakubwa kwahili misisemi maana nadhani muda umefika kila mtu awe namwanasheria wake ukipunjwa tu. mahakamani unalipwa na fidia nadhan wataacha maana nikisikia au kuwaona wanavyo jinadi natamati hata kuwapiga mawe
 
Back
Top Bottom