Ndio changamoto inaonekana uwe mjuaji sana huko ndo utoboe...hilo la vijana wadogo kumiliki biashara za usafiri na usafirishaji kwa kiwango kikubwa nalisikia sana
I like the idea..japo naziona zipo ila unaweza fanya vema tu endapo utaaminiwa na SOKO. Kikubwa ni soko wakuamini...kisha source ya bidhaa husika na jinsi utasupply
Zinachanganya sana. Wenyewe utasikia easy money kwenda na ukisasa. Kama kweli hizi mambo serikali kupitia wizara husika na BOT zingesaidia kuweka sawa watu pengine manufaa yangeongezeka au madhara yangepunguzwa. Naona wameacha vile watu wale au waliwe basi....ila forex ktk mifumo mbalimbali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.