Hao akina Pdidy mbona wanafanya ngono mpaka kinyume na maumbile lkn bado ni matajiri,ukifanya ww mzaramo inaonekana umasikini wako ni kwa sababu ya kufungua zipu
Eti mnapigania ugali wa wengine,akishapata madaraka hakujuwi kwa chumvi Wala sukari halafu Leo eti unalialia eti mtu wangu kakatwa,mm siwezi hata kupoteza muda kukaa foleni eti nikamchague Fulani uchaguzi wa kisanii huui,
Kwa walichokifanya Yanga Bora niamie Mtibwa sugar kuliko usengerema wa kujipendekeza CCM,mm ni mwanachama hai naichangia club yangu na siyo mwanachama WA CCM,kuanzia Leo nachoma kadi ya uanachama na vitu vyote vinavyohusiana na Yanga
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.