Wakati mwingine inashangaza sana. Hivi najiuliza nguo ya jeshi si mali ya jeshi? kwa hiyo raia nguo hizo wanazitoaga wapi?! Maana kama jeshi linafikia hatua ya kupiga marufuku uvaaji wa nguo zao basi kumbe inafikirisha kwamba wananchi wanaziiba huko jeshini?
Na kama zinaibiwa huko kisha kuja...
Wadau naomba kazi inayohusiana na 'delivery' au inayofanana na hiyo. Nina experience ya 5+ years
Niko na valid driving licence pia na pikipiki.
Elimu yangu ni Form Six
Computer: MS Word & Excel
Ninaishi Dar Es Salaam.
Kama yupo mwenye huitaji karibu Pm tuzungumze.Asante
Ni muda sasa nimekuwa napitia mazingira magumu sana ya kimaisha ajira ikiwa kwangu ni jambo lisilotatulika pamoja na kutegemewa na familia niliyonayo. Nimekuwa nikijitahidi sana kutafuta kazi kwa nguvu nyingi but naishia kuambulia patupu.
Jambo ambalo limekuwa likinikosesha raha ni namna ya...
Nyumba ya ghorofa moja Inauzwa milioni 300 maongezi yapo Ipo bunju B - Dar es salaam
Vyumba Vinne vya Kulala vyote ni self contained
▫Sitting room zipo mbili chini na juu
▫Dining room
◇ Kitchen
◇Store
▫ Public toilet
▫Ukubwa wa kiwanja: sqmt 1377
◇document clean TITLE DEED (Hati miliki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.