Nenda Advance uwe awarded form six inauzito sana utakuwa na privilege nzuri hapoo mbeleni ila jitaidi usipate four wala zero skuizi bila form six upati kozi za diploma huwa inaongeza nguvu sana katika kuchaguliwa kozi zozote konk za science hatuombei ila ikitokea umeanguka basi hata tatu ya...
Vijana msilazimishe kusoma degree ali mradi kwamba una cut off 4.0 na kutaka kupata mkopo ungeenda hata health allied sciences in diploma level zingekusaidia pia haswa kwa PCB yako hiyoo ila sawa nakutakia maisha mema na rural and urban nnmhh
Hiyoo ndo inawafunza kwamba someni kwa nguvu zaidii GPA wamewaalibia soko CCD skuizii kupata shule ya serikali zaidi ikiwa science ni ngumu lakini ungekuwa comb za wakumbonjika sawaa
Sent from my GT-I9300 using JamiiForums mobile app
Ndugu yangu achana na kurudia kwanza skutegemea kama ungesema hivyoo nenda diploma bado unauwezo na vigezo vizuri sana halafu 2013 tunaijua mzee ile pure was complex kiukweli
Nina wasiwasi na ufaulu wako wa form upo duni sana ndo maana ukawa kwenye chuo kama hicho na kozi kama hiyo sina cha kukushauri zaidi kubaliana na hali kwa sababu ulichagua mwenyewe kupata daraja ulilolipata form four tafuta vyuo vya saizi yakoo vyenye kutambulika na serikali abundantly
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.